.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
 jay  alipokuwa mtoto akiwa na baba ake  r kelly Dunia inasurprises nyingi, kuna watu hawapendi muonekano wao na hufanya juu chini hata kufanya upasuaji ili wawe na sura ya mvuto lakini wapo wengine ambao hawapendi kabisa jinsia waliyopewa na Mungu.Mtoto wa mfalme wa R&B, Robert Kelly aliyezaa na muigizaji Andrea Kelly aliyewahi kuwa mke wake ameipinga jinsia yake na kujiunga na kundi la watu wanaoishi kwa mtazamo tofauti na...
Posted by kifesi |
Polisi nchini Canada wanamsaka mtu hatari mwenye silaha ambaye amevaa mavazi kama ya muigizaji wa filamu za mapigano Rambo. Mtu huyo amewaua kwa kuwapiga risasi maafisa watatu wa polisi na kujeruhi wengine wawili katika tukio hilo la pamoja. Mashambulizi hayo ya risasi yamefanyika wakati polisi walilipokea simu juu ya mtu aliyekuwa na silaha Kaskazini mwa mji wa Moncton katika Jimbo la Pwani ya Mashariki ya New Brunswick.  Maafisa hao watatu...
Posted by kifesi |
Be confident. Too many days are wasted comparing ourselves to others and wishing to be something we aren't. Everybody has their own strengths and weaknesses, and it is only when you accept everything you are, and aren't, that you will truly succeed. ...
Posted by kifesi |
Kwetu fashion inazidi kukuwa kila mwaka,kutokana na ubunifu mzuri wa mavazi yenye sura halisi ya kutanagaza uafrika na utanzania wetu,zifuatrazo ni baadhi tu ya moja ya mamia ya mitindo ya mavazi iliyobuniwa na Missy Temeke,CEO wa kwetu fashion ...