.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
ya kumshirikisha Malkia wa Mipasho, Khadija Kopa, huenda Diamond akasikika tena kwenye wimbo wa Mzee Yusuf. Akiongea kwenye kipindi cha Ng’ari Ng’ari cha Clouds TV, Mzee Yusuf alisema huenda akamshirikisha Diamond kwenye wimbo uitwao ‘Kikulacho’. Katika hatua nyingine, Mzee Yusuf alisema nyimbo zake zitakazokuwepo kwenye album yake ijayo zitakuwa na si zaidi ya dakika...
Posted by kifesi |
  Weekend iliyopita Escape One kulifanyika show iliyowakutanisha mastar wakubwa ndani na nje ya TZ kama Christian Bella, Ruby,Ali Kiba, Kassim Mganga, Ommy Dimpoz, Msami, na Kenya.. WOTE kwenye stage moja watu wakaenjoy pamoja mtu wangu.. Katika tukio lililowashangaza wengi ni ishu ya msanii Ommy Dimpoz alipojikuta akishindwa kujizuia mbele ya mashabiki zake na kuanza kulia wakati...