Kwa Raha Zangu Na Shem Langu @diamondplatnumz ---- Nyota Ndio Mpango Mzima ⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️
A video posted by Missy Temeke (@missytemeke) on Dec 12, 2014 at 8:14pm PST
Dammmmmn mi billetera está completamente vacía !!
A video posted by Missy Temeke (@missytemeke) on Dec 12, 2014 at 1:30am PST
...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Chris Brown ametangaza rasmi kwenye show kuwa ameachana na mpenzi
wake wa muda mrefu Karrueche Tran. Kwenye show yake wakati anapiga
nyimbo alipozi na katikati akasema “I’m single too!” na kusema “F*** that b****!”
Hii ndio post ya Chris Brown kuhusu issue hii, huku akimchana
Karrueche kuwa amemfanyia mambo mengi ila hajarudisha fadhila na kwamba
alihisi Tran alikuwa na mahusiano na Drake.Chris Brown ameifuta baada ya
dakika...
Posted by kifesi |
Wasanii ambao wameingia kwenye
kinyang’anyiro cha kuwania tuzo za 57 za Grammy za mwaka 2015 tayari
wametangazwa na kitu kingine ambacho ningependa ufahamu ni juu ya list
hiyo kuwa na majina ya wasanii wakubwa.
Beyonce, Iggy Azalea, Ariane Grande,
Pharell, Ed Sheeran, Sam Smith na Chris Brown ni kati ya wale walioingia
kwenye list hiyo na kuifanya iwe na mvuto mkubwa, kwa wale wafuatiliaji
najua watakumbuka kilichotokea kwenye sherehe...
Posted by kifesi |
Hili
ni tamasha ambalo huusisha zaidi walaji mbalimbali wa nyama kukutana
na kufurahia nyama mbalimbali ambazo huandaliwa na mabanda mbalimbali
ikiwemo Nyama ya kuku, ng’ombe na mbuzi.
Dec 06 jiji la Dar es Salaam limepata nafasi nyingine ya kukutana
pamoja na kula nyama za aina mbalimbali, Nyamachoma Festival Dar es
Salaam imefanyika kwenye viwanja vya michezo vya Chuo Kikuu Dar.
...
Posted by kifesi |
It appears Chris Brown and Karrueche Tran have broken up again... and the singer made it clear on Friday night (Dec. 5).During
Power 106's annual Cali Christmas concert in Los Angeles, the singer
formally announced that he was single and ready mingle, while putting
Karrueche on bla...
Subscribe to:
Posts (Atom)