
Posted by: Millard Ayo
October 30, 2014
General News, stori kubwa
Wiki moja baada ya kutokea kwa msiba wa mmoja wa wasanii wa TMK Wanaume Family YP na saa chache baadaye ukatokea msiba mwingine wa aliyekuwa msanii wa maigizo na vichekesho Sherry Mwana, leo Oktoba 30 umetokea msiba mwingine Bongo Movie.
Taarifa za awali zimeanza kusambaa
kupitia watu mbalimbali maarufu Tanzania ambao wameaanza kuonyesha
masikito yao akiwemo msanii...