
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Wale mliozoe kusema " sijaona message yako au "basi itakuwa sijaisoma"
kwasababu hakukua na chochote kinachomuonyesha mtumaji umesoma basi
mmekomeshwa na "Whatsapp" safari hii.
Sasa hivi kila ujumbe utakaopokelewa na kusomwa kupitia whatsapp
utaonyesha alama ya tiki mbili za blue ikimaanisha ujumbe umefika na
umeshasomwa, ukilinganisha na zamani, ujumbe ulikuwa ukitumwa kama
haijafika unaonyesha tiki moja, ukifika unaonyesha tiki mbili lakini
haionyeshi kama ujumbe umesomwa au la.
Kama aimu yako inaji upodate mar akwa mara utakuwa ushaona mabadiliko haya na kama bado fanya ku update whatsapp yako sasa.
Posted by kifesi |
Siku ya jana Novemba 6, Beyonce
alimtembelea Kelly Rowland aliyejifungua mtoto wa kiume na kuacha ujumbe
wa nguvu katika ukurasa wake wa Instagram (@beyonce) kwa mtoto huyo.
“.. Hakuna hisia nzuri kama hii ya
kumshika mpwa wangu mzuri. Nashukuru Mungu kwa heshima ya kuishuhudia
safari ya dada yangu kuwa mama. Nimekuwa nikiota watoto wetu wanakua
pamoja. Nashukuru kwa kuungana kwetu. Mtoto Ty, Nakupenda sana. Pongezi
kwenu wapenzi..”-Beyonce.
Posted by kifesi |
Forbes
imetoa orodha ya wasanii wa kike waliotengeneza pesa zaidi kwenye
muziki mwaka 2014, Beyoncé ametajwa namba moja kwenye orodha akiwa
ametengeneza dola za Kimarekani milioni $115. Wasanii wengine waliotajwa
ni Taylor Swift, Pink, Rihanna na Lady Gaga.
Hii ndio orodha ya wasanii hawa na pesa walizotengeneza
Hii ndio orodha ya wasanii hawa na pesa walizotengeneza
1. Beyoncé - $115 million
2. Taylor Swift - $64 million
3. Pink - $52 million
4. Rihanna with - $48 million
5. Katy Perry - $40 million
6. Jennifer Lopez - $37 million
7. Miley Cyrus - $36 million, tie
7. Celine Dion - $36 million, tie
9. Lady Gaga - $33 million
10. Britney Spears - $20 million
Subscribe to:
Posts (Atom)