HIZI NI PICHA ZINGINE ZA HARUSI YA KIFALME YA NDUGU FRANK MTAFUNGWA,AMBAPO PAMOJA NA MABO MENGINE YA KUSISIMUWA ILIFIKA MIDA YA KUCHUKUWA PICHA ZA KUMBUKUMBU,CEO N FOUNDER WA KWETU FASHION AKIWA KWENYE PICHA ZA KUMBUKUMBU PAMOJA NA MAHARUSI...
Rapper Nicki Minaj anaelekea kukamilisha
video yake mpya ya Anaconda na ametoa video ya sekunde 15 ikionyesha
Minaj akiwa kwenye pozi tofauti za kimahaba katika video yake ya
Anaconda.
...
Rais wa Jamhuri ya Muungano Jakaya Kikwete Usiku wa Agosti 2
2014,alikutana na waTanzania katika hoteli ya Marriot iliyopo jijini
Washington DC Baada ya hotuba yake,Rais Kikwete aliruhusu maswali kutoka
kwa Watanzania hao.
Miongoni mwa maswali hayo ni yale yaliyotaka uthibitisho wa Rais juu
ya taarifa aliyowahi kuitoa Katibu Mkuu wa Chadema Dr.Wilbroad Slaa
kuhusu madai ya Ridhiwan Kikwete kukamatwa na madawa ya klulevya China...
URAIS DMV- ENDORSMENT - IDDI SANDALY
Sisi Missy Temeke (kushoto) na Salma Jay Jay ( kulia) tunamuunga mkono
Iddi Sandaly kwenye uchaguzi wa jumuiya ya watanzania DMV.
VOTE 4 IDDI SANDALY!!!!!!!!...
Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
MicrosoftInternetExplorer4
Kuna mambo inachukua mda sana kuyamini unaposimliwa kama
hivi,mpaka ushuhudie kwa macho yako,hususani kwa swala kaa hii linamomhusisha
Mtanzania mwenzetu,tukio lililofanywa na ndugu Frank Mtafungwa NA mkewe
Anitha Mwemezi NI...
MISSY TEMEKE Missy Temeke is one of the Prominent African fashion designers, recognized for her artistic and technical skills and for creating simple, comfortable women’s wear. Born and raised in the Dar-es-salaam, Tanzania, Missy Temeke'spassion for fashion began in her teens when she worked as a Model, beauty pageant and beautician for the clouds company while attending school. Missy Temeke began her......CLICK THE PICTURE TO CONTINUE READING