...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Daily Mail imeripoti kuwa msichana huyo wa Colorado, Marekani amekutwa hana hatia na mahakama baada ya vipimo vya madaktari kuonesha kuwa ana matatizo ya akili na hata wakati anafanya tukio hilo hakuwa sawa kiakili.
Mahakama hiyo imeamua kuwa Isabela apelekwe hospitali kuanza matibabu badala ya kwenda jela kama ilivyokuwa inatarajiwa na wengi.
Upelelezi wa polisi ulieleza kuwa msichana huyo alimuua mama yake aitwae Yun Mi Hoy kwa kumchoma...
Posted by kifesi |
.jpg)
Kwetu fashion inazidi kutanuka na kujizolea umaarufu kila siku,umaaru ambao haujaja kirahisi bali kwa kazi nzuri ,na ubunifu mzuri wa mavazi yanayomfanya mtu ajiskie ufahari wa nyumbani yani Afrika..kwa ubora huo ndio maana imekua ikipata nafasi ya kuvisha watu mbali mbali wakubwa na wadogo pia kwenye matamasha mbalimbali..hizi ni baadhi ya picha za warembo waliovishwa na kwetu fashion wakati wa shughuli ya TANO LADIES
...
Posted by kifesi |
Tuzo za watu zimefanyika usiku wa tarehe 27/6 kwenye hotel ya Serena Hotel.Baadhi ya tuzo zilienda kama hivi, Muigizaji wa kike anayependwa-Elizabeth Michael, Mwigizaji wa kiume anayependwa – Mzee Majuto,Video ya muziki ya muimbaji wa kiume imeenda kwa Diamond Platinumz (My number 1),Lady Jay Dee ameshinda tuzo ya video inayopendwa ya muimbaji wa kike na video ya Yahaya. Tuzo ya mtangazaji wa radio anayependwa ni Millard Ayo na show ya radio...
Posted by kifesi |
SALAMA JABIRI, HOST wakipindi cha MKASI alijikuta ana changanya mambo baada ya mumuita PENNY kwa jina la WEMA....pindi wanarekodi kipindi ambapo PENNY alikua ndio mgeni...Hehehehe Siunajua PENNY na WEMA waliwahi kushea Mapenzi ya D..Patamu hapo!!! sasa PENNY alijibu nini baada ya kuitwa WEMA? Salama je ali RIAKTI vipi baada ya kuchanganya mamb...
Subscribe to:
Posts (Atom)