.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Tunaishi katika ulimwengu ambao Mwanamke akielezea Makosa anayotendewa na mpenzi wake anaonekana Kaonewa na anadai Haki yake.... Lakini Mwanaume akielezea Makosa anayotendewa na Mpenzi wake anaonekana Mshenzi anamdhalilisha Mwenzie.... je unafkiri ni kwanini? na je unahisi hiyo ndio sababu inayowapelekea wadada wengi kufanya vitu vya ajabu Wakiamini wanakimbilio....
Posted by kifesi |
Mwanamke anayejulikana kwa jina la Tatu Ikoko akitishia kusaula mbele ya watu. HATARI! Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Tatu Ikoko mkazi wa Mwananyamala jijini Dar, hivi karibuni alifunga mtaa kwa kutembea bila nguo baada ya kumfumania mumewe akiwa na mwanamke mwingine. Chanzo chetu cha kuaminika kilisema mwanamke huyo aliondoka nyumbani kwake usiku wa Ijumaa iliyopita na aliporejea asubuhi, alimkuta mwenzake akiwa na kigori...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
  Starring: AY, Ramsey Nouah, Vivica Foxx, Lyn Whitfield, Karlie Redd, Richard Mofe Damijo, Desmond Elliot, Rachael Oniga, Mercy Johnson, Adah Ameh, Kesse Jabari, Majid Michel, Juliet Ibrahim...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
OMG.......Damn,North,your mom is naked again! Yap!!  And I see Yo Momma finally combed yo HAIR...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Msanii wa kimataifa Chameleone amekanusha kumuomba Diamond Collabo baada ya mtandao wa BigEye kuripoti hivyo.Chameleone amesema ...1] Wenye Application ya Mziiki ndio walitaka Chameleone awe balozi wa app hio Uganda kama Diamond alivyo balozi wa app hio huku Tanzania na wafanyi wimbo pamoja kama mabalozi.2] Mpaka sasa hawajakubaliana na App hio, hajampigia Diamond kumuomba collabo, Hajamuwhatsapp Diamond kuhusu collabo,Thats not...
Posted by kifesi |
Nicki ameanza kufanya video ya wimbo wake "Only" ambao humo kuna  sauti ya Drake, Lil Waye na Chris Brown. Wimbo huu upo kwenye album ya tatu ta Minaj inayoitwa "The PinkPrint" inayotarajiwa kutoka December 15. Kwenye hizi picha Chris Brown hajaonekana, je hayopo kwenye video ?  hataki kuwa sehemu moja na Drake ?  ni maswali yanayosubiri majibu.           ...
Posted by kifesi |
Mtandao wa Tmz umeripoti kuwa msanii wa Rnb Chris Brown amempangishia mpenzi wake wa muda mrefu nyumba baada ya kugundua kuwa Karrueche anaujauzito na anahitaji kuwa kwenye mazingira bora zaidi. Chris Brown na Karrueche Tran wamekuwa wapenzi toka mwaka 2009 na sasa wataishi pamoja kwenye nyumba hio iliyopo Los Angeles inayolipiwa dola $4,600  kwa mwezi. Gari ya Chris Brown Nje Ya Nyumba Ya Tran  ...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Kuwepo kwa mitandao ya kijamii kumeleta mambo mengi na mengine sio ya kawaida mfano tabia iliyopo siku hizi ambapo baadhi ya watu wamekuwa wakianzisha uhusiano mpaka wa kimapenzi kupitia mitandao hiyo na hawajawahi kukutana kabla, wapo wachache ambao wameweza kuvuka na kufikia hatua ya kuoana lakini wengi huishia barabarani. “Wewe sio mwanamke niliyekuwa nakufikiria.. samahani, ila ninakuacha”  bwana harusi alisikika akisema hayo...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
PICHA INAYOONESHA 8INATOKA KWENYE VIDEO YA WIMBO HUO ...