Posted by kifesi |
Tunaishi
katika ulimwengu ambao Mwanamke akielezea Makosa anayotendewa na mpenzi
wake anaonekana Kaonewa na anadai Haki yake.... Lakini Mwanaume
akielezea Makosa anayotendewa na Mpenzi wake anaonekana Mshenzi
anamdhalilisha Mwenzie.... je unafkiri ni kwanini? na je unahisi hiyo
ndio sababu inayowapelekea wadada wengi kufanya vitu vya ajabu Wakiamini
wanakimbilio...
0 comments:
Post a Comment