.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Kampuni ya Apple imezindua bidhaa mpya ya saa za mkononi ya kisasa ‘smart watch’ inayoitwa iwatch ikiwa ni bidhaa ya kwanza kutambulishwa na kampuni hiyo tangu alipofariki muanzilishi wa kampuni hiyo, Steve Jobs. Saa hiyo imetajwa kuwa na matumizi mengi kwa mtumiaji wa kisasa anaendana na teknolojia huku ikimrahisishia maisha kwa kiasi kikubwa hasa katika kufahamu kinachoendelea duniani na afya yake. Saa hiyo ya iwatch ina uwezo wa kumonitor...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Mwimbaji Justin Bieber amejitoa ufahamu wakati akiwa katika show ya mitindo iliyokuwa ikirushwa Live kwenye TV, Jumanne, September 9  na kuchojoa nguo mbele ya kadamnasi. Bieber alifika jukwaani ambapo watu wengi walihudhuria, na alipofika alimwambia Lara Stone kuwa hajisikii huru hadi avue nguo zote. Sekunde chache baadae alianza kuvua nguo moja moja hadi alipobaki na nguo ya ndani pekee aka boxer.   Show iliendelea na Bieber alionesha...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Mwanamke mwenye umri wa miaka 25, raia wa India ameokolewa na polisi baada ya kufungiwa bafuni na mumewe kwa muda wa miaka mitatu akiteswa kwa sababu tu alijifungua mtoto wa kike! Pamoja na mateso ya kunyimwa chakula mara kadhaa, mwanamke huyo alizuiwa kumuona mwanae huyo kwa kipindi chote cha miaka mitatu. Kwa mujibu wa gazeti la International Business Times, Afisa wa polisi aliyetajwa kwa jina la Seema Kumar ameeleza kuwa mwanamke huyo alikutwa...