.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Kitu kibaya zaidi kinachokosewa na wanadamu wa nyakati hizi kwenye mapenzi ni kwamba wanapingana na haja za nafsi zao na wanafuata msukumo wa matamanio ya viungo vyao vya uzazi,unapomuoa mwanamke kwa sifa ya kujua kukata mauno unakosea kwa kuwa si kila muda utahitaji  kukatiwa viuno kwenye ndoa. kuna kipindi utahitaji ukarimu wa mumeo wa mumeo ili uweze kufurahia maisha ya ndoa na pia kuna kipindi utahitaji tu busara za mkeo ili uweze kuikamilisha...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Kwenye kila idara siku hizi kuna habari zake nyingi tu, utaambiwa Wanamichezo 10 matajiri duniani, 10 wanaouza zaidi kibiashara, Magari 10 ya bei ghali zaidi duniani…. hizo ni baadhi tu ya countdown ambazo tunazo kwenye haya maisha ya kila siku. List ya hawa warembo ilitoka zaidi ya miezi miwili iliyopita so kama ilikupita fanya hesabu pamoja na mimi kwenye hii post, wanasema sio Warembo wa Ulaya bali hii ni list ya dunia. #1 Nina Dobrev - mrembo...
Posted by kifesi |
Imeripotiwa kuwa Miss Tanzania wa zamani ambae ni mchumba wa mda mlefu wa billionea reginald mengi, jackuline klyn leo amefanikisha kufunga ndoa huko ufaransa paris na billionea huyo, kama ilivyo ada na kuwaida mitandao ya kijamii ukiwemo na insta, as it known yakuwa hapo juzi kati mwanadada huyo aliweka tiza kwenye mtandao wake wa insta ya kuwa final destination, so kama ulikuwa hujui ndo tunakufungua macho yakuwa final destination...
Posted by kifesi |
 Baba Levo ambae huwa anasikika kwenye Ampifaya ya CloudsFM Jumatatu mpaka Ijumaa, moja ya fix zake wiki hii ilikua ni kuhusu nyumba mpya ya Diamond Platnumz ambayo imetengenezwa kwa gharama na kunakshwiwa kwa gold bafuni. ...