Hizi picha za mastaa waliohudhuria pambano kubwa la Floyd Mayweather Vs Manny Pacquiao. Floyd Mayweather alitangazwa mshindi kwa points kwenye pambano hili la round 12. Wasanii nan waigizaji walionekana kwa wingi.
Beyonce na Jay Z
Mwigizaji Ben Affleck
Mwigizaji Denzel Washington
Mcheza tennis wazamani Andre Agassi
Paris Hilton
Rapa Nicki Minaj
Mike Tyson
...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Siku chache baada ya mke wa mjukuu wa Malkia Elizabeth , Kate Middleton kujifungua mtoto wake wa pili ambaye ni mtoto wa kike , hatimaye mtoto huyo amepewa jina baada ya siku kadhaa za watu nchini Uingereza kuwa katika hali ya kusubiri kwa hamu ili kuweza kufahamu jina la binti huyo .
Familia hiyo change imempa jina la Charlotte Elizabeth Diana ikiwa ni kuwaenzi bibi , bibi mkuu na babu mkuu wa mtoto huyo ambao walikuwa na majina aliyopewa .
Familia...
Subscribe to:
Posts (Atom)