.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Hizi picha za mastaa waliohudhuria pambano kubwa la Floyd Mayweather Vs  Manny Pacquiao. Floyd Mayweather alitangazwa mshindi kwa points kwenye pambano hili la round 12. Wasanii nan waigizaji walionekana kwa wingi. Beyonce na Jay Z Mwigizaji Ben Affleck Mwigizaji Denzel Washington Mcheza tennis wazamani Andre Agassi Paris Hilton Rapa Nicki Minaj Mike Tyson        ...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Siku chache baada ya mke wa mjukuu wa Malkia Elizabeth , Kate Middleton kujifungua mtoto wake wa pili ambaye ni mtoto wa kike , hatimaye mtoto huyo amepewa jina baada ya siku kadhaa za watu nchini Uingereza kuwa katika hali ya kusubiri kwa hamu ili kuweza kufahamu jina la binti huyo . Familia hiyo change imempa jina la Charlotte Elizabeth Diana ikiwa ni kuwaenzi bibi , bibi mkuu na babu mkuu wa mtoto huyo ambao walikuwa na majina aliyopewa . Familia...