.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Channel O wametangaza majina ya wasanii watakaowania tuzo za CHOAMVA mwaka huu. Diamond ametajwa kuwania vipengele vinne ambavyo ni pamoja na  MOST GIFTEDVIDEO OF THE YEAR,  MOST GIFTEDNEWCOMER,  MOST GIFTED AFRO POP na MOST GIFTED EAST AFRICA VOTE HA...
Posted by kifesi |
Siku ya leo mwanamuziki nguli wa Bongo fleva , Diamond Platnumz yupo nchini Africa Kusini akishoot kipindi na Televisheni ya MTVBase ya nchini humo. Bado haikuweza kujulikana kipindi hicho kinahusu nini lakini itaelekea kitakua si tu kuhusu Diamond bali Tanzania kwa ujumla baada ya Diamond kuanza kurekodia kipindi hicho kwenye balozi za Tanzania nchini Africa kusini… lkupitia insta ameandika  diamondplatnumz kwakuwa siku ya leo nzima...
Posted by kifesi |
Add caption...
Posted by kifesi |
Week hii story kubwa ni kuhusu taarifa ya kuhusu jengo panamofanyikia mashindano ya BBA kuripotiwa kuungua,na wahuika kutangaza kuwa mashindano hayo hayataanza jumapili kama ilivyotalajiwa..japo mda mwingine ishu kama hizi huundwa kama nia ya kutafuta kick na swali la kujiuliza hapa kama ni kweli,mbona jengo linalodaiwa ndio jengo la BBA mbna halina hadhi hiyo? na mbna picha ni zile zile tuu inamana hakua picha za matukio zaidi,lakini la mwisho..Diamond...
Posted by kifesi |
Imeripotiwa kuwa Ciara na Mchuba wake Rapper,Future wameamua kuziweka kando tofauti zao,ili walee mtoto,Ciara na Future walitengana baada ya Ciara kugundua kuwa Future ana mchepuko.......
Posted by kifesi |
the QUARTZ Blog Huffington Post limeripoti habari kutoka Uingereza ya kusikitisha ya kijana Rhys Culley kumng’ata vibaya midomo mpenzi wake Chanttelle Ward mwenye umri wa miaka 18 wakati anamkiss baada ya kuwa na ugomvi unaohusisha na wivu wa mapenzi. Kijana huyo wa miaka 23 alikuwa na wasiwasi baada ya kuhisi kuwa mpenzi wake alikuwa anachat na mwanaume kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook akimsaliti. Akisimulia...
Posted by kifesi |
Msichana wa miaka 18, raia wa India aliyetajwa kwa jina la Mangli Munda amefunga ndoa na mbwa baada ya kulazimishwa na wazazi wake kufanya hivyo kwa imani kuwa atafukuza roho za kishetani na mikosi inazomsonga. Mbwa huyo alitafutwa na baba mzazi wa mrembo huyo na kufanyika sherehe kubwa ikiwa na vitendo vyote vinavyofanywa na ya bibi harusi na bwana harusi kwa taratibu zao za ndoa. Kwa mujibu wa Yahoo News, msichana...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Jarida la GQ Limetoa picha za super model Kim Kardashian zitakazo wekwa kwenye toleo jipya ambalo Kim ametajwa kuwa mwanamke wa mwaka. Kim ambaye ni mke wa rapper Kanye West amepozi bila nguo huku akificha baadhi ya sehemu kwenye mwili wake. ...
Posted by kifesi |
Baada ya kufunga ndoa kwa siri bila kukaribisha vyombo vya habari na mapaparzi kwenye sherehe ya ndoa yao Ufaransa Brad Pitt na Angelina Jolie wameuza picha za harusi yao. Majarida mawili ambayo ni People na Hello wamelipa kwa pamoja dola milioni 2 za Kimarekani. Brad Pitt na Jolie waliwahi kuuza picha za kwanza za mtoto wao wa kike kwa jarida la people kwa dola milioni nne, mwaka 2007 waliuza picha zao za mtoto wao wa kiume, mwaka 2008 ilisemekana...