1-KILA SIKU AMKA UKIWA NA MAWAZO POSITIVE
2_KULA VIZURI,HAIMANISH KULA CHAKULA
CHA GHARAMA,BALI KULA CHAKULA
KITAKACHOBORESHA AFYA YAKO NA SI KUHARIBU
3_LALA VIZURI NA KWA WAKATI
4_FANYA JEMA,HATA KAMA NI DOGO
KIASI GANI,LITAHESBIK...
Ni mmoja ya wakongwe wa mziki Tanzania
ambao,walichangia kwa kiasui kikubwa mziki
kuwa hapa ulipo saivi,amefsriki leo katika
hospital ya taifa Mhimbili..mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake kwa aman...
Kutokana na mvua zinazonyesha hivi sasa kwenye jiji la
Dar es salaam pamoja na kusababisha mambo mengi
kusimama, miundombinu kuharibika hasa madaraja yanayounganisha
njia kuu, pia zimesababisha vifo vya watu 10.
Nyumba nyingi zimeingia maji hasa maeneo ya mabondeni na kulazimisha familia
kuhama kutoka kwenye makazi
yao ambapo mpaka sasa Polisi Dar es salaam inasema
watu kumi waliofariki,...
kuelekea katika tuzo za Kora Africa mashabiki
wamepewa nafasi ya kuchagua wasanii
wanaowakubali Africa kwa kuwapigia kura kwa
kuandika jina la msanii wanaemkubali. wiki ya 14 hivi sasa
Diamond amefanikiwa kutoka katika nafasi ya
14 mpaka nafasi ya 3 wiki hii. kupitia ukurasa
wao wa facebook, Kora Awards, wametoa nafasi kwa
mashabiki kuchagua best artist kutoka
mashariki, kati,magharibi,...
MISSY TEMEKE Missy Temeke is one of the Prominent African fashion designers, recognized for her artistic and technical skills and for creating simple, comfortable women’s wear. Born and raised in the Dar-es-salaam, Tanzania, Missy Temeke'spassion for fashion began in her teens when she worked as a Model, beauty pageant and beautician for the clouds company while attending school. Missy Temeke began her......CLICK THE PICTURE TO CONTINUE READING