.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
1-KILA SIKU AMKA UKIWA NA MAWAZO POSITIVE 2_KULA VIZURI,HAIMANISH KULA CHAKULA  CHA GHARAMA,BALI KULA CHAKULA   KITAKACHOBORESHA AFYA YAKO NA SI KUHARIBU 3_LALA VIZURI NA KWA WAKATI 4_FANYA JEMA,HATA KAMA NI DOGO  KIASI GANI,LITAHESBIK...
Posted by kifesi |
Ni mmoja ya wakongwe wa mziki Tanzania  ambao,walichangia kwa kiasui kikubwa mziki  kuwa hapa ulipo saivi,amefsriki leo katika  hospital ya taifa Mhimbili..mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake kwa aman...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Kutokana na mvua zinazonyesha hivi sasa kwenye jiji la  Dar es salaam pamoja na kusababisha mambo mengi  kusimama, miundombinu kuharibika hasa madaraja yanayounganisha  njia kuu, pia zimesababisha vifo vya watu 10.  Nyumba nyingi zimeingia maji hasa maeneo ya mabondeni na kulazimisha familia  kuhama kutoka kwenye makazi  yao ambapo mpaka sasa Polisi Dar es salaam inasema   watu kumi waliofariki,...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
kuelekea katika tuzo za Kora Africa mashabiki  wamepewa nafasi ya kuchagua wasanii  wanaowakubali Africa kwa kuwapigia kura kwa  kuandika jina la msanii wanaemkubali. wiki ya 14 hivi sasa  Diamond amefanikiwa kutoka katika nafasi ya  14 mpaka nafasi ya 3 wiki hii. kupitia ukurasa  wao wa facebook, Kora Awards, wametoa nafasi kwa  mashabiki kuchagua best artist kutoka  mashariki, kati,magharibi,...