.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Rapper mkongwe  Joseph Haule aka Professor Jay usiku wa Jumamosi (13 Sept) alizindua video mbili ‘Kipi Sijasikia &  ‘3 Chafu’,uzinduzi huo ulifanyika ndani ya ukumbi wa Ten Lounge uliopo maeneo ya Victoria jijini Dar es Salaam Mbali na uzinduzi huo Professor alipata support kutoka kwa wasanii mbalimbali  akiwemo,Linex,Chid Benz,Lady Jay Dee,Soggy Doggy,TID,Slim,D Knob,Country Boy na wengineo Hizi ni picha za Uzinduzi...
Posted by kifesi |
MOja ya sifa njema kuhusu Miss Temeke ni vipaji vingi alivyojaliwa na Mungu kuhusu urembo na mambo yote kuhusu fashion,vipaji ambavyo alivipiga msasa kwa kuviendea shule,miss Temeke ambae ni mama wa watoto wawili wenye afya na furaha; ni vigumu kumtabilia umri wake kutokana na anavyojitunza ..na mbali na kufanya fashion na kuvalisha watu wengi mashuhuri pia ni makeups artist mzuri kabisa akiwa amefanya kwenye sherehe mbalimblai na kwa...
Posted by kifesi |
For there is no friend like a sisterIn calm or stormy weather; To cheer one on the tedious way, To fetch one if one goes astray,To lift one if one totters down, To strengthen whilst one stands..LOVE YOU SALMA JAY JAY...
Posted by kifesi |
Love is the master key that opens the gates of happiness....
Posted by kifesi |
WATOTO WAKIWAWAMEPENDEZESHWA NA KWETU FASHION MAVAZI HAYA YAMEDIZAINIWA NA KWETU FASHION...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
  Nicki Minaj amekutana na kikwazo kikubwa katika mpango wake wa kuzungumza na wanafunzi wa shule aliyosoma. Mwimbaji huyo ameeleza jinsi alivyoumia baada ya mkuu wa shule hiyo kulikataa ombi lake la kuongea na wanafunzi hao kwa nia ya kuwa-inspire wafanikiwe kama yeye. Huenda mkuu huyo wa chuo ameona Nicki Minaj sio mtu sahihi wa kuwa-inspire wanafunzi wake kwa kuzingatia video tata ya ‘Anaconda’ aliyoitoa hivi karibuni. Hizi...
Posted by kifesi |
  Kanye West alikuwa kwenye tamasha lake nchini Australia wakati huu na aliamua kuweka msimamo kwa maneno aliyoyasema kuwataka mashabiki wote kusimama na kucheza wakati anaimba la sivyo asingeendelea na show. “'I can't do this song, I can't do this show until everybody stand up. Unless you got a handicap pass  and you get special parking and s**t.'Imma see you if you ain't standing up, believe me, I'm very good at that.”. Alisema. Kwa...