.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
CRDT-SPORAHSHOW Meets Tanzanian sensational singer and song writer "Ali Kiba" in this interview we talks about his career, upcoming projects and beef with his fellow musicians Diamond Platinumz. What Happened Between Ali Kiba And Diamond Platinumz?It’s long been rumoured that Ali Kiba and Diamond Platinums have beef with each other but now Ali Kiba has decided to clear the air on the The Sporah Show. During this interview with...
Posted by kifesi |
 The highly anticipated video to Waje's 'Onye' ft Tiwa Savage finally drops, and it is smoking HOT!!! Shot on the streets of Lagos, the Kemi Adetiba directed video depicts what happens when two women (Tiwa Savage and Waje) unknowingly fall in love with the same man (erstwhile Mr. Nigeria Bryan Okpara), amid hilarious scenes. Featuring a brief cameo appearance from Omawumi,...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
00000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000...
Posted by kifesi |
  Jarida la Forbes limetoa orodha ya waigizaji wa kiume wanaolipwa zaidi Hollywood. Hawa ndio wanalipwa pesa nyingi zaid kwenye filamu wanazoigiza. Star wa filamu za Iron Man ndiye ameongoza kwa kuchukua dola milioni 75 kwenye filamu zake. Robert Downey Jr $75 Million Dwayne Johnson Maarufu Kama The Rock Analipwa $52 Million Bradley Cooper analipwa $46 Million Leonardo DiCaprio $39 Million Chris Hemsworth $37 Million Liam Neeson $36...
Posted by kifesi |
Ukizingatia taarifa  kuhusu ndoa ya Jay Z na Beyonce kuvunjika baada tu ya ziara yao ya On The Run kukamilika, wasimamizi wa wasanii hawa wanafanya kila jitiada kuweka pamoja mashabiki zao kwa kusambaza picha na maneno mazuri kuhusu wapenzi hawa. Hizi picha tatu mpaka sasa zimeonekana kupendwa zaidi na mashabiki. Hii ndio couple ya mastaa inayoaminika kudumu kwa sasa ukiacha ya Will Smith na Jada Smith. ...
Posted by kifesi |
Kutoka Team XXL ya Clouds Fm July 22 amezaliwa Hamis Mandi aka B12 au B Bozen ambapo Jumanne ameamua kusherehekea siku yake huu muhimu kwa kufuturu na watoto yatima. Hii ni mara ya nne mastar wa Tanzania kufuturisha alianza Diamond,akafata Shilole kisha ikafuata futuru iliyoandaliwa na THT kisha Dr Cheni kwenye kusherehekea Birthday yake na sasa ni B12. Hizi ni baadhi ya picha za shughuli ilivyokuwa. Soudy brown akilishwa...