.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Mwanamitindo wa kimataifa toka Tanzania,Miriam Odemba amecover kwenye jarid la NEW AFRIKAN WOMEN toleo la 26. Lifahamu zaidi jarida hilo NEW AFRICAN WOMAN is a colourful lifestyle magazine dedicated to providing in-depth coverage of fashion and beauty, health and wellbeing, parenting and family, and much, much more. The magazine is a celebration of black beauty and culture and with a unique indigenous twist, we offer an insight into the...
Posted by kifesi |
Ilikuwa ni kwenye cocktail party iliyofanyika kwenye ubarozi wa Tanzania Mareka...
Posted by kifesi |
Ni mkutano uliofanyika mwaka jana ukiongozwa na mheshimiwa,Nchemba na msaidiz wa raisi .Mheshimiwa RAJAB LUHWAVI. ...
Posted by kifesi |
Msanii wa maigizo Elizabeth Michael maarufu kama "Lulu" jana jioni aliwakumbuka watoto yatima wa kituo cha ''Chakuwama'' kilichopo Sinza Meeda na kujumuika nao kwenye Futari iliyo andaliwa na msanii huyo... Lulu aliambatana na Mama yake mzazi, Mama Kanumba, Dk. Cheni na watu mbali mbali. ...
Posted by kifesi |
Heka heka ya leo imetokea marangu mtoni. Jamaa mmoja houseboy kamchinja mtoto wa bosi wake na kula ubongo wa mtoto huyo na baada ya hapo akajikata uume wake na akaula. Chanzo chetu cha habari hii kilichopo huko Marangu Moshi kilihabarisha kuwa mtu huyo yupo katika hali mbaya sana na yuko chini ya ulinzi wa Polisi. Innah lillah waiyna lillah rajiuun....
Posted by kifesi |
Baada ya wadogo zake wote kufunga  ndoa hatimaye Jude Okoye kaka wa Peter na Paul wa P Square amefunga ndoa na mchumbwa wake Ifeoma Umeokeke. tazama picha za ndoa hiyo na  Ifeoma ambaye alikuwa Miss Tourism 2012. ...