Siku chache baada ya kukamatwa na polisi kwa kumpiga
mwanamke aliyekuwa na mpenzi wake ambaye ni Birdman, Keyshia Cole
ametangaza nyimbo na cover la album yake mpya ya “Point Of No Return” .
Wasanii walioshirikishwa kwenye album hii ni pamoja na 2 Chainz,Future,
Wale, August Alsina na Juicy J.
1. “Intro (Last Tango)”
2. “Heat of Passion”
3. “N. L. U” (feat. 2 Chainz)
4. “Next Time” (Won’t Give My Heart Away)
5. “Rick James”...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Siku mbili baada ya Amber Rose kufuata taratibu za kisheria akidai
talaka kwa mumewe Wiz Khalifa, Nick Cannon ameendelea kunyoshewa vidole
kuwa chanzo cha yote na kudaiwa kuchepuka na mrembo huyo kwa kipindi
kirefu.
Chanzo kimeiambia TMZ kuwa Nick ambaye hivi sasa ni meneja wa Amber
Rose amekanusha tuhuma hizo na kudai kuwa hajawahi kuchepuka na Amber na
hahusiki kivyovyote na uamuzi wake.
Ameeleza kuwa alikuja kufahamu Amber Rose alikuwa...
Posted by kifesi |
Wakati wimbo wa MdogoMdogo ukiwa bado unasumbua kwenye media, Diamond
Platinumz anatarajia kurusha mawe mengine mazito zaidi kwa ajili ya
kuwaburudisha mashabiki wake.
Babu Tale ambaye ni meneja wa Diamond
amesema mkali huyo anatarajia kuachia nyimbo mbili kwa mpigo na kwamba
zote zimetayarishwa nje.
“Tusubirie kidogo, baada ya miezi miwili mitatu tutaongea kwa sababu
kuna kazi zinakuja, Diamond anarelease ngoma mbili mfululizo...
Posted by kifesi |
Mashabiki wa shindano la Big Brother Africa wanaoisubiria kwa hamu
msimu mpya utakaoanza mwezi ujao uliopewa jina la ‘Hot Shots’.
Hivi karibuni wametajwa washiriki wengine sita wanaoziwakilisha nchi
zao. Kutoka Tanzania mrembo Irene Laveda ambaye ana kipaji cha kuigiza
anaungana na Idris ambaye ni mpiga picha kuiwakilisha nchi yetu katika
jengo hilo.
Angalia picha za washiriki hao sita waliotajwa hivi karibuni.
Laveda (Tanzania)
M'am...
Posted by kifesi |
Tmz wameripoti kuwa model Amber Rose
ameomba talaka kutoka kwa mume wake ambaye wameishi pamoja kwa muda wa
mwaka moja. Amber anasema yeye na mumewe wametengana kuanzia Jumatatu na
anataka haki zote za malezi za mtoto wao Sebastian mwenye umri wa mwaka
mmoja.
Tofauti na ndoa za wasanii wengine zikivunjika hugawana pesa na mali,
Amber alisainishwa makubaliano ya kutochukua mgao wa pesa au mali
kutoka kwa mumewake endapo watat...
Subscribe to:
Posts (Atom)