Tuzo kubwa za music duaniani BET zimefanyika jana ,na mwakilishi pekee wa Tanzania na Afrika mashariki,Diamond platnumz kwa bahati mbaya hakuweza kushinda,japo ni hatua kubwa sana amepiga kwa music wake na Tanzania kwa ujumla,kajitangaza kimataifa,katengeneza connections ,kakutana na wasanii wakubwa dunaiani akiwemo Nelly ni faida si kwake tu,bali ni kwa mziki wa Tanzania kwani sasa ameitambulisha Tanzania kimataifa
Diamond akiwa na Nellypamoja...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Mshindi wa tuzo ya Grammy, Pharrell Williams aliendeleza ushindi wake kwa mwaka huu baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya Video of the Year na Best Male R&B/Pop artist. Na August Alsina alishinda tuzo ya Best New Artist na Viewers’ Choice Award.
Muigizaji kutoka Kenya Lupia Nyong’o alikuwa moja kati ya washindi wa awali na alitangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Muigizaji bora wa kike (Best Actress)
Best Female R&B/Pop ArtistBeyoncé
Best...
Subscribe to:
Posts (Atom)