
Mtandao unaodeal na habari za mastaa TMZ umeripoti kuwa ,
Chriss brown kapewa adhabu nyingine na mahakamaya
kufanya kazi za kijamii kwa masaa nane kila siku, na kwa
mujibu wa ratiba aliyopewa na mahakama anatakiwa afanye kazi hizo kwa
siku 4 kila wiki, ikimaanisha ni siku 1 tu ndani ya wiki kuanzia Jumatatu
mpaka Ijumaa ambazo ‘atadeal’ na mambo yake mengine.
wa daktari wake huenda usimuokoe Chris...