.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Mwaka 2013 Happyness Watimanya alishiriki kwenye mashindano ya Redd’s Miss Tanzani 2013 ambapo mashindano hayo yalifanyika Mlimani City jijini Dar es salaam na kuibuka mshindi kwenye kinyang’anyiro hicho…. Siku ya jana Novemba 15 Happyness Watimanywa alianza safari yake ya kuelekea jijini London kuiwakilisha Tanzania kwenye shindano la Miss World kwa mwaka 2014, lakini kabla hajaondoka alishare na watanzania wenzake video clip ya...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji (39), ametajwa kuwa ndiyo bilionea namba moja nchini kwa sasa, akifuatiwa na Rostam Aziz (49). Kwa mujibu wa ripoti ya Jarida la Ventures Afrika lililotolewa jana, wafanyabiashara hao ndiyo Watanzania pekee waliongia kwenye orodha ya mabilionea 55 barani Afrika. Dewji, ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kwa tiketi ya CCM, ni mfanyabishara...
Posted by kifesi |
Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kamwe hapendi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na masharobaro akidai kuwa siku zote ni pasua kichwa ila anazimikia watu wazima waliomzidi sana umri. Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Lulu alisema akiwa na mwanaume anapenda ampite angalau miaka kumi na kuendelea kwa kuwa anakuwa ni mtu mzima na...
Posted by kifesi |
...