Mwaka 2013 Happyness Watimanya alishiriki
kwenye mashindano ya Redd’s Miss Tanzani 2013 ambapo mashindano hayo
yalifanyika Mlimani City jijini Dar es salaam na kuibuka mshindi kwenye
kinyang’anyiro hicho….
Siku ya jana Novemba 15 Happyness
Watimanywa alianza safari yake ya kuelekea jijini London kuiwakilisha
Tanzania kwenye shindano la Miss World kwa mwaka 2014, lakini kabla
hajaondoka alishare na watanzania wenzake video clip ya...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji (39),
ametajwa kuwa ndiyo bilionea namba moja nchini kwa sasa, akifuatiwa na
Rostam Aziz (49).
Kwa mujibu wa ripoti ya Jarida la Ventures Afrika lililotolewa jana,
wafanyabiashara hao ndiyo Watanzania pekee waliongia kwenye orodha ya
mabilionea 55 barani Afrika.
Dewji, ambaye
pia
ni mbunge wa Singida Mjini kwa tiketi ya CCM, ni mfanyabishara...
Posted by kifesi |
Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee,
Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kamwe hapendi kuwa katika
uhusiano wa kimapenzi na masharobaro akidai kuwa siku zote ni pasua
kichwa ila anazimikia watu wazima waliomzidi sana umri.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Lulu alisema akiwa na
mwanaume anapenda ampite angalau miaka kumi na kuendelea kwa kuwa
anakuwa ni mtu mzima na...
Subscribe to:
Posts (Atom)