.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
  Nimeleta hii kitu hapa ili mjifunze, hii mitandao sasa inavunja sana ndoa. Hadi michepuko wapi wanatafuta online ni hatari. Hivi watu wa jinsi hii hawaogopi ukimwi? Hawana hofu ya Mungu? Kwa nini unadanganya kwa watu upo single na wakati una mke na mtoto. Sasa haya ndio matokeo yake. Huyu ni mume, kama hayupo kazini akiwa nyumbani muda wote yupo kwenye internet. Imefikia hatua anaweza kesha kwenye computer au simu. Ukiiuliza nini haswa...
Posted by kifesi |
  IKIWA HAIJAEDITIWA ...
Posted by kifesi |
Jamaa alijipanga mwenyewe ili aachane na maisha ya ukapela, ndugu jamaa, marafiki wakakutana ukumbini kwa ajili ya kusherehekea ndoa yake.. kilichotokea kiliifanya siku hiyo kuwa katika historia ya matukio ambayo sio mazuri kwake. Bwana harusi huyo Kang Hu wa China aliwashangaza wageni waalikwa kwenye harusi  yake baada ya kukutana na bibi harusi, Na Sung kwa mara ya kwanza siku ya harusi yao, lakini hakuvutiwa na...
Posted by kifesi |
Moja ya ishu zilizojadiliwa Bungeni katika vikao vilivyofanyika ndani ya wiki hii ni suala la kelele ndani ya Miji Mikubwa TZ kam vile Dar.. Wabunge wakasema ikiwezekana kuwepo utaratibu wa kufungia kumbi za sherehe ambazo zinaongoza kwa kupiga muziki na kusababisha kero ya kelele. Nimepita mitandaoni nikakuta hii list mtu wangu.. Hapa ni Miji mikubwa mitano inayoongoza kwa kelele Marekani. No.1: Karibu New York mtu wa nguvu !! Huu ni...
Posted by kifesi |
&nbs...
Posted by kifesi |
Miezi minne iliyopita Meek Mil na  Nicki Minaj walitumia nguvu nyingi kuficha mapenzi yao ila hivi karibuni wamekuwa wazi sana. Wapenzi hawa walionekana karibu sana kwenye ziara ya Nicki Minaj The Pinkprint Tour huko Paris ufaransa. ...
Posted by kifesi |
Kwenye mahojiano aliyofanyiwa hivi karibu Rihanna amekanusha kuwa na mahusiano na star wa Titanic Leonardo Dicaprio na kusema ” ratiba yake inambana sana muda huu kuwa kwenye mahusiano yeyote au kuwa na mtu ” Riri aliendelea kusema “usiamini blogs zitaharibu mambo yako ” . Rihanna anasema mwanaume atakaye weza kuwa naye kwa sasa lazima aelewe ratiba yake na aweze kuishi naye kwenye maisha hayo...