Nimeleta hii kitu hapa ili mjifunze, hii mitandao sasa
inavunja sana ndoa. Hadi michepuko wapi wanatafuta online ni hatari.
Hivi watu wa jinsi hii hawaogopi ukimwi? Hawana hofu ya Mungu? Kwa nini
unadanganya kwa watu upo single na wakati una mke na mtoto. Sasa haya
ndio matokeo yake.
Huyu ni mume, kama hayupo kazini akiwa nyumbani muda wote yupo kwenye
internet. Imefikia hatua anaweza kesha kwenye computer au simu.
Ukiiuliza nini haswa...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Jamaa
alijipanga mwenyewe ili aachane na maisha ya ukapela, ndugu jamaa,
marafiki wakakutana ukumbini kwa ajili ya kusherehekea ndoa yake..
kilichotokea kiliifanya siku hiyo kuwa katika historia ya matukio ambayo
sio mazuri kwake.
Bwana harusi huyo Kang Hu wa China aliwashangaza wageni waalikwa kwenye harusi yake baada ya kukutana na bibi harusi, Na Sung kwa mara
ya kwanza siku ya harusi yao, lakini hakuvutiwa na...
Posted by kifesi |
Moja ya ishu zilizojadiliwa Bungeni
katika vikao vilivyofanyika ndani ya wiki hii ni suala la kelele ndani
ya Miji Mikubwa TZ kam vile Dar.. Wabunge wakasema
ikiwezekana kuwepo utaratibu wa kufungia kumbi za sherehe ambazo
zinaongoza kwa kupiga muziki na kusababisha kero ya kelele.
Nimepita mitandaoni nikakuta hii list mtu wangu.. Hapa ni Miji mikubwa mitano inayoongoza kwa kelele Marekani.
No.1: Karibu New York
mtu wa nguvu !! Huu ni...
Posted by kifesi |
Kwenye mahojiano aliyofanyiwa hivi karibu Rihanna amekanusha kuwa na mahusiano na star wa Titanic Leonardo Dicaprio na kusema ” ratiba yake inambana sana muda huu kuwa kwenye mahusiano yeyote au kuwa na mtu ” Riri aliendelea kusema “usiamini blogs zitaharibu mambo yako ” .
Rihanna anasema mwanaume atakaye weza kuwa naye kwa sasa lazima aelewe ratiba yake na aweze kuishi naye kwenye maisha hayo...
Subscribe to:
Posts (Atom)