.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Ile show inayosubiriwa kwa na kuongelewa kila kona ya jiji la Dar es Salaam ya Diamond na Zari pale Mlimani city siku ya May mosi Leo vimewekwa wazi bei ya viingilio..kiingilio cha juu ni shiling million 3 za kitanzania na cha chini ni elfu 50.  And here are the Official Entrance fee for Zari All white Party 1st of May 2015, Mlimani City... 50,000/= 100,000/= VIP 1,000,000/= VIP Table plus 4 tickets & Drinks Coupon.... 3,000,000/= VVIP...
Posted by kifesi |
 Ijumaa hii Wema Sepetu alikuwa mgeni kwenye kipindi cha Ubaoni cha EFM. Miongoni mwa mambo aliyoulizwa ni pamoja maisha baada ya kuachana na Diamond Platnumz.  Haya ni mambo 10 aliyosema: 1. Maisha yake bila Diamond yako poa tu japo mazoea yaliyokuwa yamezidi kati yao yanamfanya wakati mwingine kummiss! 2. Ameshakubali ukweli kwamba yuko mbali na Diamond 3. Anaamini kuwa Diamond anammiss pia kutokana mazoea waliyokuwa nayo 4....
Posted by kifesi |
Rapa Nicki Minaj amewapa mashabiki wake kitu cha kuongelea weekend hii baada ya kuweka picha akiwa na mpenzi wake Rapa Meek Mil huku Nicki Minaj akiwa na pete kubwa ya uchumba kwenye kidole cha kushoto cha Pete. Revolt Tv imeripoti kuwa wapenzi hawa wanaweza kuwa wamevalishana pete za uchumba baada ya miezi miwili ya mapenzi yao.  ...
Posted by kifesi |
Msanii wa rnb Chris Brown ameonekana kuwa na raha ya kuwa baba na wiki hii ametupa picha ya kwanza akiwa na mtoto wake wa kike Royalty. Mtoto huyu ana miezi 10 tu. Picha ya Chris na mtoto wake iliambatanishwa na ujumbe uliosema “God has blessed me with my twin. #ROYALTY,” ...