.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Story mjini ni kwamba Wiz Khalifa ameokana akila good  times  mrembo Sara Dajstani ambae ni model na inasemekana  kwamba ndio mpenzi wake mpya baada ya kumwagana na Amber.siku chache zilizopita. Wawili hawa walionekana pamoja kwenye ‘bata’ huko  Hollywood Marekani Jumanne ya wiki hii ambapo japo  hawakukamatwa na camera wakiwa kwenye picha  ya pamoja,  walikuwepo pamoja ndani na hata kuondoka waliondoka...
Posted by kifesi |
  estinaGeorge.Com imekuwa nominated kushindania  tuzo za BEFFTA zitakazo fanyika nchini Uingereza  mwishioni mwa mwezi huu October. Ili kuiwezesha  kushinda anahitaji kura zetu. Kupiga kura  unatakiwa kwenda www.beffta.com/voting kuna link  kwenye bio yake @officialjestinageorgeblog kisha  fuata maelekezo. Ukisha jaza jina na email yako pale  kwenye Nomination Category unachagua Newspaper/Magazines/Blogs...
Posted by kifesi |
  Diamond platnumz anakua msanii wa kwanza kuweka jina lake badala ya namba kwenye gari. ambapo Utaratibu wa kuweka majina badala ya namba umeanza kutumika kihalali nchini Tanzania ambapo watu mbalimbali wasio maarufu walishaanza kujiwekea miezi kadhaa iliyopita ambapo ada yake ni milioni tano kwa miaka mitatu.Mpango wa mastaa kuweka majina kwenye magari yao badala ya namba tulizozizoea umekua ukitumika kwenye nchi mbalimbali duniani...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Nay wa Mitego na mpenzi wake Siwema,ni moja ya couple za mastaa zinazofahamika zaidi Taanzania kupitia instagram ,Nay ameshare pic ikimwonesha mpenzi wake akiwa na mimba kubwa tu,so soon tutegemee kiumbe kipya toka kwa wawili haw...
Posted by kifesi |
 Tazama picha za CEO na mbunifu wa mavazi ya kwetu fashion,Miss t akiwa ndani ya vazi alilolidesign yeye mwenyewe,usisahu kuwa Miss T  anapenda kudumisha vya nyumbani ndio mana mavazi yake mengi,yako katika mwonekano wa Kiafrica,mwonekano wa kinyumbani kama vazi hili alilovaa siku ya mkutano wa DICOTA,Hatukukwambia kama Miss Temeke ni Model pia siyo tu model wa kupitia mafunzo bali model wa kuzaliwa,pasipo shaka mwonekano wake na vazi  mavazi...
Posted by kifesi |
Alivyokuwa uzeeni kabla hajafa ...
Posted by kifesi |
Toka mshindi wa miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu atangazwe yameibuka maswali mengi sana, juu ya umri wake halisi, yeye akisema ana miaka 18 na baba yake akisema amezaliwa 1989 na mama yake akisema amezaliwa 1985, na uku kamati ya miss tanzania ikisema amezaliwa 1991 hivyo ana miaka 23... Team ya kazi ilibidi iingie mtaani hapa Dallas ili kuweza kubaini ukweli wa mambo kuanzia elimu yake na umri sahihi, tumeweza kupata nyaraka zake mbali mbali...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Akiongea na mtandao wa Sammisago,Mwimbaji bwana mdogo  ambae ana mahusiano na Shilole,Nuh Mziwanda amesema anawapenda sana watoto wawili wa mpenz wake huyo akaongeza kuwa "Watoto wananiita Uncle, wakiwepo nyumbani kuna kazi hata  sifanyi, wananiwekea maji ya moto, asubuhi huniwekea chakula  mapema na Joyce ambaye ni mkubwa ananielewa na hunisaidia kila kitu" tazama video ya interview hapa chini. ...