
Alhamis ya jana (November 14) mwanaume mrefu kuliko wote duniani na
mfupi kuliko wote walikutana katika tukio lililofanyika London ambapo
walipiga picha ya pamoja wakipeana mikono.
Tukio hilo
lilikuwa ni lakumi la mwaka la rekodi za Guinness kusherehekea rekodi
zilizowekwa na dunia. Guiness waliwasafirisha wanaume hao ambao ni
Sultan Kosen kutoka uturuki (Mrefu) na Chandra Bahadur Dangi (mfupi)
kutoka...