.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Katika kitu ambacho hakikutegemewa kabisa kutokea licha ya yeye mwenyewe kuweka ahadi, ni Roma kuingia ndani ya Sharobaro Records na kufanya kazi na producer Bob Junior. Lakini amini usiamini Roma amekamilisha ahadi yake na ameingia Sharobaro Records na ku record na Bob Jr. Wiki mbili zilizopita wakati mchezo wa fainali za kombe la dunia zikiendelea, wakati Brazil na Argentina zikiwa uwanjani, Msanii wa Hiphop ambae kazi zake nyingi...
Posted by kifesi |
Mwanamitindo w Tz..Hamisa mobeto jana alishare post ya clip akisifia uzuri wake pasipo makeups,tazama vide...
Posted by kifesi |
Jana ALI KIBA alachia nyimbo zake mbili baada ya ukimya wa miaka 3..wengi wameshafungua yao yamoyoni kuhusu nyimbo zake alizoziachia leo...sasa ni zamu ya bibie Elizabeth Michael aka LULU.ambapo post yake hii imekuwa gumzo sana mtandaoni......
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Pope Francis Alhamisi ya July 24 2014 nchini Italia amekutana na Meriam mwanamke wa Sudan ambae alihukumiwa kunyongwa nchini Sudan kwa kosa la kuolewa na mume Mkristo mwaka 2011. Meriam na watoto wake wawili akiwemo huyu wa mwisho aliezaliwa gerezani pamoja na mume wake ambae ni raia wa Marekani mwenye asili ya Sudan, waliwasili Italy wakiwa wameongozana na Afisa wa Italia ambae alisaidia kwenye mazungumzo na...
Posted by kifesi |
...