
Meneja wa kundi la Wanaume Family amethibisha kifo cha msanii YP na
kueleza kuwa alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya KIFUA kwa muda mrefu.
“Tatizo alikuwa anaumwa kifua muda tu, lakini alishaanza kunywa dozi
lakini majuzi akazidiwa na tukampeleka hospitali. Jana ndo mwenyezi
Mungu kampenda zaidi akamchukua. Wazazi wa marehemu wapo Keko pale,
lakini wazazi wake baba na mama walifariki ila ndugu zake wapo, na kuna
kibanda waliachiwa na...