.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Meneja wa kundi la Wanaume Family amethibisha kifo cha msanii YP na kueleza kuwa alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya KIFUA  kwa muda mrefu. “Tatizo alikuwa anaumwa kifua muda tu, lakini alishaanza kunywa dozi lakini majuzi akazidiwa na tukampeleka hospitali. Jana ndo mwenyezi Mungu kampenda zaidi akamchukua. Wazazi wa marehemu wapo Keko pale, lakini wazazi wake baba na mama walifariki ila ndugu zake wapo, na kuna kibanda waliachiwa na...
Posted by kifesi |
Mahakama ya Afrika Kusini imemhukumu kifungo cha miaka 5 jela mwanariadha mlemavu Oscar Pistorius kwa kosa la kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp. Mwezi September, mahakama hiyo ilimkuta Pistorius na hatia ya kumuua Reeva Steenkamp bila kukusudia katika siku ya wapendanao mwaka jana (February 14,2013). Pistorius alikiri kumpiga risasi Reeva nyumbani kwake na kujitetea kuwa alidhani ni mtu aliyevamia nyumbani kwao usiku ule. Akitoa masharti...
Posted by kifesi |
Mwaka 2005 kulikua na ushindani kidogo, mwaka 2006 kulikua na ushindani  wa Wema na Jokate na upinzani huu umeendelea kuwepo kwenye mashindano yetu lakini ya mwaka huu imezidi mno, kumekua na matusi… kashfa na hata naona wamevuka mpaka na kuingiza mambo ya kisiasa ambayo sisi hatuyapendi, huu ni mchezo kama mchezo mwingine wowote… yani taji la mwaka mmoja limefunika mpaka katiba na Simba na Yanga? Hayo ni maelezo aliyoyatoa Mr. Hasheem...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
  Aliyekuwa mwakilishi wa kutoka Kenya ndani ya  jumba la Big Brother nchini Afrika Kusini,  Sabina ametolewa katika jumba hilo. Taarifa zilizowekwa katika ukurasa wa mtandao wa Standard  Digital ya nchini Kenya zinasema, mwakilishi huyo ambaye ni mtangazaji wa televisheni amekuwa kivutio  cha watazamaji wengi wa show ya Big Brother. Sabina ametolewa ndani ya jumba hilo pamoja na wenzake  ambao ni Lilian...
Posted by kifesi |
Mashabiki wengi wa Ally Kiba inasemekana walipanga kuzomea wakati Diamond Platnumz anaperfoam pale jukwaani,kupitia 255 ya XXL ya Clouds Fm meneja wa Diamond Platnumz aitwae Babu Tale kaongelea hali hii. 1.Sisi tumechukulia  sehemu ya mashindano,uzuri sisi tuliambiwa na uongozi wa Clouds kabla ya Diamond hajapanda ilikua saa 3 kamili tukaitwa tukaambiwa kuna watu wamejiandaa kumzomea Diamond. 2.Kama uongozi tulikaa na msanii wetu na...
Posted by kifesi |
Smiling is definitely one of the  best beauty remedies. If you have a good sense of humor and a good approach to life, thats beautiful. YOU SO BEAUTIFUL MY  DEAR NARGIS MOHAMED ...