.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Baada ya uvumi kuenea kuwa, ndoa ya muigizaji kiwango bongo, Irene Pancras Uwoya imevunjika, wawili hao walinaswa Live Airport nchini Rwanda wiki iliyopita, ambapo mke huyo wa Ndikumana alienda nchini humo kumsabahi husband wake. ...
Posted by kifesi |
  Hatimaye Lady Jaydee amethibitisha kwa kauli yake mwenyewe kuwa ndoa yake na mtangazaji mkongwe wa redio, Gadner G Habash imevunjika. Akiongea leo kwenye Exclusive Friday ya kipindi cha Sunrise cha Times FM, Jaydee amesema ni yeye ndiye aliyeamuacha Gadner. Kwenye mahojiano hayo, Jide alizungumzia kuwa kwenye uhusiano na mtu aliyekuwa akimpiga mara kwa mara licha ya kutomtaja moja kwa moja kuwa ni Gadner lakini alisema alikuwa akiteswa. Kabla...
Posted by kifesi |
  CLICK HAPA KUSIKILI...
Posted by kifesi |
Picha hizi zilisambaa miezi michache nyuma ambazo zilikua zikimuonyesha Ommy Dimpoz kama katoka kijijini amekuja mjini,zilizua maswali mengi sana na baadae alisema zilivuja maana zilikua zikihusu tamasha la Serengeti Fiesta. Video yake imeongozwa na Adam Juma kutoka Next Level,ndani ya video hii yupo pia mrembo Jokate ‘Jojo’ ambaye wanaonekana kwenye treni wakisafiri,hii ni remix iliyopigwa ki midundo ya mchiriku zaidi baada ya ile ya kwanza,humu...