...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Hatimaye Lady Jaydee amethibitisha kwa kauli yake mwenyewe
kuwa ndoa yake na mtangazaji mkongwe wa redio, Gadner G
Habash imevunjika.
Akiongea leo kwenye Exclusive Friday ya kipindi cha Sunrise cha
Times FM, Jaydee amesema ni yeye ndiye aliyeamuacha Gadner.
Kwenye mahojiano hayo, Jide alizungumzia kuwa kwenye
uhusiano na mtu aliyekuwa akimpiga mara kwa mara licha ya
kutomtaja moja kwa moja kuwa ni Gadner lakini alisema alikuwa
akiteswa.
Kabla...
Posted by kifesi |
Picha
hizi zilisambaa miezi michache nyuma ambazo zilikua zikimuonyesha Ommy
Dimpoz kama katoka kijijini amekuja mjini,zilizua maswali mengi sana na
baadae alisema zilivuja maana zilikua zikihusu tamasha la Serengeti
Fiesta.
Video yake imeongozwa na Adam Juma kutoka Next Level,ndani ya video hii yupo
pia
mrembo Jokate ‘Jojo’ ambaye wanaonekana kwenye treni wakisafiri,hii ni
remix iliyopigwa ki midundo ya mchiriku zaidi baada ya ile ya
kwanza,humu...
Subscribe to:
Posts (Atom)