Video yake imeongozwa na Adam Juma kutoka Next Level,ndani ya video hii yupo
pia
mrembo Jokate ‘Jojo’ ambaye wanaonekana kwenye treni wakisafiri,hii ni
remix iliyopigwa ki midundo ya mchiriku zaidi baada ya ile ya
kwanza,humu kashirikishwa Msaga Sumu.
0 comments:
Post a Comment