The little and incredibly beautiful 9 years old Russian model Kristina Pimenova
has an angel face. She is from Moscow and has been modelling since the
age of 4. Her mother has been working as a model as well and involved
her daughter into the glamour world of fashion.
With a stunning azure blue eyes and angelic appearance there is no
doubt that many enchant all important and famous fashion names have
remained enthralled by her beauty,...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Modo ambaye pia anafanya muziki na ujasiriamali, Jokate
Mwegelo amefunguka kuwa, awapo chumbani na mpenzi wake huwa anasikia
raha kutovaa chochote.
Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi, Jokate alisema haoni
aibu kusema akiwa faragha na mpenzi wake hapendelei kuvaa kitu kwani ni
eneo la kujiachia.
“Kwa kweli nikiwa chumbani na mpenzi wangu sipendi kuvaa kitu kabisa,” alisema Jokate kwa kifu...
Posted by kifesi |
Mashabiki wa Wema Sepetu wameamua kuvaa miwani za mbao
na kumfanyia udalali wa mapenzi boss wao kwa aliekuwa mme wa le project
Zari the bosslady bwana Ivan, amsha amsha hizo zimeanza punde tu baada
ya wema mwenyewe kuanza kumfollow Ivan.
maskini baba wa watu hadi kishapachikwa jina eti aitwa Ivanwema
Hii ni zaidi ya mwaga mboga nimwage
ugali….Team Wema imeamua sio tu kumwaga ugali ila kutoboa...
Posted by kifesi |
.
Mfanya biashara kutokea Uganda,Zariah Tlale aka Zari The Boss
ameingia kwenye scandal nzito katika kipindi hiki baada ya kile
kinachosadikiwa ni mkanda wake wa ngono kuvuja kwenye mitandao.
kupitia twitter mfanyabiashara huyo amejikuta katika wakati mgumu
kuhusiana na scandal hiyo huku mashabiki wakitaka kujua kiunaga ubaga,na
baadae kuamua kuandika ujumbe mrefu kwenye akaunti yake ya instagram.
‘Dearest
friends, my fans...
Subscribe to:
Posts (Atom)