Samah Hamdi mwenye miaka 27 alifikia uamuzi huo baada ya kuchoshwa na kashfa kutoka kwa watu wanaomzunguka ikiwemo familia yake hasa mama yake mzazi ambao wamekua wakimsema kutokana na kutokua na mume mpaka sasa.
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Usiku wa Jan 24 ni siku ambayo waimbaji mbalimbali watanzania walishare jukwaa moja kwenye tamasha la Kiboko yao Concert lililoandaliwa na kampuni ya simu za mkononiTigo.
Miongoni mwa waimbaji waliotumbuiza akiwemo;Diamond Platnumz, Shaa, Vanessa Mdee, Joh Makini, Stamina, Young Dee, Nikki wa pili, Ben pol, Fid Q, Ay, Mwana FA, Khadija Kopa, Linah na wengineo.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tamasha hilo.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kuk
Subscribe to:
Posts (Atom)