.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Mara nyingi wengi wetu tumekuwa tukiumiza hisia za wenzi Wetu bila kujua. Kumuumiza mtu mwingine kihisia ni ile hali ya kusababisha emotional discomfort kwa mtu mwingine kiasi cha kumfanya apoteze furaha yake. Haya ni baadhi ya mambo yanayoweza kupunguza hali tajwa hapo juu: 1.Jaribu kuwa na mtazamo chanya (positive attitude) juu yake. Mara nyingi mitizamo hasi juu ya mtu mwengine huweza kusababisha umuelewe tofauti mwenzio hata kama tendo...
Posted by kifesi |
Wakati akihojiwa na Clouds Fm kipindi cha leo Tena alipoulizwa anachopenda zaidi kwa Zari ni kitu gani? Alifunguka kuwa anachopenda ni tabia ya Zari ya kujielewa. Akaendelea kufunguka Zari anajua kutofautisha maisha yao halisi na maisha ya instagram. Kwani baada ya maisha ya instagram ya mapichapicha anajua kuwekeza kwa ajili ya kesho na ni mshauri wake wa mipango ya kimaendeleo. Pia anasema anazimia ngozi yake Zari Ile mbaya. Kasema...
Posted by kifesi |
Kabla na Baada List ya Masuper star wa Kiume Bongo waliojibadilisha ngozi kwa kutumia mkorogo ama madawa inazidi kunona baada ya Msanii Richi Mavoko Kusemekana naye amejichumbua ngozi kwani muonekano wake wa kabla na sasa ni tofauti sana kama inavyoonekana hapo juu kwenye picha....Picha hiyo imewekwa instagram na mdau mmoja na hivi ndiyo watu walivyoichukulia:shalifanuhuWao umenagaugly73Lakini napenda SAUTI yake .. Sasa sijui bado ipo AU imekua...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
DJ mkongwe na Mkurugenzi wa EFM, Majay na mwanamitindo Hamisa Mobeto wamepata mtoto wa kike. Mobeto alipokuwa mjamzito Hamisa amejifungua hivi karibuni. Kupitia ukurusa wa Instagram, Jokate ameandika: This is such a beautiful pic. Hongera kwa kujifungua Hamisamobetto … God bles...
Posted by kifesi |
Kwenye Leo Tena alikuwepo Diamond Platnumz pamoja na meneja wake, Babu Tale.. kama kawaida ya show ya Leo Tena pale huwa ni story nyingi nyingi zinakuwa zinaendelea, lakini Diamond nae akashea na watu wake kuhusu HEKAHEKA aliyowahi kukutana nayo. Kulikuwa na maswali pia ambayo ilibidi Diamond ayajibu, mengi yalitoka kwa wasikilizaji wa show hiyo. Ikaulizwa kuhusu tetesi za yeye na Meneja...