Ukiwa na simu ya mkononi, tablets au iPad na unafanya utalii
au camping katika sehemu fulani mbali na eneo lenye umeme, hofu kubwa
ni kuishiwa charge ya kutosha.
Kwa kuwa tent ndio nyumba inayohamishika kwa watu wanaofanya utalii
ama camping, wataalam wametafuta jinsi ya kuondoa tatizo hilo na
kuwafanya watu kuacha kutegemea power banks ambazo nazo huishiwa chaji
pia.
Wataalam hao wameunda tent ambalo linatumia...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
the QUARTZ Blog
posted 9 hours ago by admin
AY amepata nafasi ya kuingia ikulu ya Marekani kupitia
mualiko maalum wa rais Obama kwa wasanii wa Afrika ambao walikuwa katika
One Campaign yenye lengo la kuhamasisha kilimo Afrika.
AY ameungana na wasanii wengine wa Afrika akiwemo Femi Kuti, D’Banj, Fally Ipupa, Victoria Kimani na Owamuni.
Waimbaji hao wanaungana na mchezaji wa Manchester City, Yaya...
Posted by kifesi |
Baada ya kuongelea manukato yake kwa muda wa mwezi mmoja sasa Rihanna
yupo tayari kuweka sokoni bidha hii mpya,Wale wa Rihanna Perfume hii
mpya inaitwa Rogue Man na inatoka September. Rihanna akiongelea perfume
hii amesema “Inamanukato mazuri sana mpaka wanawake watakuwa wanaiba T
Shirt za wanaume wao”
...
Posted by kifesi |
Agnes
Gerald Video Model maarufu Tanzania ambaye hivi karibuni ulimuona
kwenye video ya Tunda Man Ft Ali Kiba-Msambinungwa aliyehamia nchini
Afrika kusini na kuonekana kusihi huko na mpenzi wake sasa inasemekana
amepata kibali cha kusafiria cha raia wa nchi hio [South African
Passport].
Mapema August 3 2014 Agnes aliweka picha ya Passport ya Africa Kusini
ikiambatana na alama ya wapenzi wawili ikiashiria sababu ya kupata
kibali hicho. Comment...
Subscribe to:
Posts (Atom)