.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Ukiwa na simu ya mkononi, tablets au iPad na unafanya utalii au camping katika sehemu fulani mbali na eneo lenye umeme, hofu kubwa ni kuishiwa charge ya kutosha. Kwa kuwa tent ndio nyumba inayohamishika kwa watu wanaofanya utalii ama camping, wataalam wametafuta jinsi ya kuondoa tatizo hilo na kuwafanya watu kuacha kutegemea power banks ambazo nazo huishiwa chaji pia. Wataalam hao wameunda tent ambalo linatumia...
Posted by kifesi |
the QUARTZ Blog posted 9 hours ago by admin AY amepata nafasi ya kuingia ikulu ya Marekani kupitia mualiko maalum wa rais Obama kwa wasanii wa Afrika ambao walikuwa katika One Campaign yenye lengo la kuhamasisha kilimo Afrika. AY ameungana na wasanii wengine wa Afrika akiwemo Femi Kuti, D’Banj, Fally Ipupa, Victoria Kimani na Owamuni. Waimbaji hao wanaungana na mchezaji wa Manchester City, Yaya...
Posted by kifesi |
Baada ya kuongelea manukato yake kwa muda wa mwezi mmoja sasa Rihanna yupo tayari kuweka sokoni bidha hii mpya,Wale wa Rihanna Perfume hii mpya inaitwa Rogue Man na inatoka September. Rihanna akiongelea perfume hii amesema “Inamanukato mazuri sana mpaka wanawake watakuwa wanaiba T Shirt za wanaume wao” ...
Posted by kifesi |
Agnes Gerald Video Model maarufu Tanzania ambaye hivi karibuni ulimuona kwenye video ya Tunda Man Ft Ali Kiba-Msambinungwa aliyehamia nchini Afrika kusini na kuonekana kusihi huko na mpenzi wake sasa inasemekana amepata kibali cha kusafiria cha raia wa nchi hio [South African Passport]. Mapema August 3 2014 Agnes aliweka picha ya Passport ya Africa Kusini ikiambatana na alama ya wapenzi wawili ikiashiria sababu ya kupata kibali hicho. Comment...