.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Kwa kitendo hichi msanii Davido amethibitisha kuwa hana tofauti zozote na WizKid ambaye wiki chache nyuma iliripotiwa kuwa wamegombana na wanatupiana maneno.Davido ametumia twitter yake kutoa pongezi kwa Wizkid na P Square kwa kutoa album zao mpya. ...
Posted by kifesi |
Kundi la wasichana na wavulana sita wa Iran waliocheza wimbo wa Pharrell Williams ‘Happy’ na kisha video yao kusambaa kwenye mitandao mwezi May mwaka huu wamekamatwa tena rasmi na kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela na bakora 91. Hukumu hiyo inakuja ikiwa ni miezi kadhaa tangu walipokamatwa kwa kosa hilo na kuachiwa kwa muda baada ya watu mbalimbali duniani kukemea kwa nguvu kitendo hicho kwa kuwa waliamini vijana hao walikuwa wanajifurahisha...
Posted by kifesi |
Mwanamziki Linah anatalajia kuja na  nyimbo mpya kubwa kuliko ole thamba inayofanya vizuri kwa sasa.  “Yaani inakuja kubwa zaidi ambayo hiyo itakuwa funika, waswahili wanasema itakuwa ‘ndio basi tena..’ (anacheka). Nimeshaifanya ila kuna baadhi ya vitu ambavyo naenda kumalizia. Kwa hiyo Mungu akijalia hizo wiki zinazokuja ntaenda (Afrika Kusini) kumalizia.” Linah ameiambia tovuti ya Times Fm. Hata hivyo hakumtaja msanii huyo aliyefanya...
Posted by kifesi |
 Ni habri mpya ya mjini kwa sasa,ndoa ya Dda  wa Diamond na kipenzi wa Wema petiti man wakuache ,amabapo uhusiano wao ulioanza kama utani hatimae  umezalisha kile amabcho wengi  hawakukitgemea kama kingekuwa mapema hivi... Tunawatakia maisha mema ya ndoa na barka tele ...