Acha bwana! Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’ ameibuka na
kukanusha vikali madai ya kutoka kimalovee na mtangazaji wa Clouds
aitwaye Perfect.
Staa wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘K’
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita jijini Dar, Kajala
alifunguka kwamba madai hayo hayana ukweli wowote na wala hana ukaribu
na mtangazaji huyo.
Mtangazaji wa Clouds aitwaye Perfect.
“Sina relation (uhusiano) kama huo na Perfect...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |

Hii ni harusi iliyowashutua watu wengi duniani na inaweza kuingia kwenye
rekodi kubwa sana, harusi hiyo ilifanyika huko South Africa. Kati ya
mtoto Sanele Masilela mwenye umri wa miaka 8 na Helen Shabangu mmama
mwenye umri wa miaka 61 kufunga ndoa ya maisha, duuh!! hivi ni kweli
jamani au ndiyo geresha tu, kwa huyo dogo.
...
Posted by kifesi |
Siku chach zilizopita kupitia kipindi cha xxxl Ali kiba aliongelea uhusiano wake na Diamond na kwenye teaser ya kipindi cha sporah,anaonekana akiseama kuwa diamond ni kama yupo siti ya nyuma kwake,sasa Usiku wa kuamkia July 21 Diamond Platnumz ameandika ujumbe ambao
mashabiki wengi wa muziki wa Bongo Fleva wameutafsiri kama majibu juu ya
kile alichokisema Ally Kiba wiki iliyopita.
Katika ujumbe huo ambao Diamond kapost kwenye akaunti...
Subscribe to:
Posts (Atom)