
Mwanamuziki maarufu wa nchini Uganda, Juliana Kanyomozi, leo asubuhi
amempoteza mtoto wake mdogo wa kiume Keron baada ya kusumbuliwa na
ugonjwa wa Pumu. Kwa mujibu wa gazeti na New Vision Keron amefariki
katika hospitali ya Aghakhan.
Ni wakati mgumu kwa mwanamuziki huyo mrembo kwakuwa amekuwa akimpenda sana mtoto wake wakati akithibitisha taarifa hizo.
New Vision imemnukuu Juliana akisema kuwa” Malaika wangu ametangulia
kwa Mungu, kilichosambazwa...