.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Wema Sepetu star wa filamu Tanzania yupo nchini Ghana akifanya kitu wanachokipa Jina PROJECT Na msanii Van Vicker.     ...
Posted by kifesi |
Baada ya habari zao kuenea kwenye Mitandao ya kijamii kuhusu kuachana kwao na baadaye kuja kuombana msamaha huku mashabiki wakionekana kukerwa na kuweka mambo yao binafsi kwenye mitandao ya kijamii, katunga wimbo. Tulisikia kuhusu Chris Brown kumuomba msamaha mpenzi wake Karrueche kwa mara nyingine tena, lakini hii naona kaongeza msisitizo wa kumaanisha alichokisema kwa kutumia wimbo wa ‘Waiting’, ambao mitandao...
Posted by kifesi |
Drama bado inaendelea! Mapenzi kati ya mastaa wawili Selena Gomez na Justin Bieber yameendelea kuwa kivutio kwa mashabiki wao na safari hii baada ya kuwepo na taarifa za kuachana kwao,Gomez amefunguka na kusema licha ya kutokuwa pamoja bado anampenda Bierber. Gomez mwenye miaka 22 alipohojiwa jana alisema kwa sasa hayupo kwenye mahusiano na mtu na hakuna kibaya kati yake na mwimbaji huyo,ingawa amekiri wana historia ya kuachana na kurudiana...
Posted by kifesi |
Mshindi wa BigBrother Africa 2014 kutoka Tanzania Idris Sultan amefanyiwa party ili kukutana na mashabiki wake usiku wa 13 December 2014, Hizi ni picha za watu walivyojiachia naye, Mc wa Show Jokate na washkaji kibao. ...