.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
hii imetokea Arizona nchini Marekani ambapo mtoto wa miaka 9 ndio kichwa cha habari kwenye mafunzo ya kutumia submachine gun iliyotengenezwa Israel. Mtoto huyu wa kike anaetokea New York alikua kwenye mapumziko na matembezi kama mtalii kwenye mji wa Arizona ambako pia ndio alichukua time yake ya ziada kujifunza kutumia bunduki lakini kwa bahati mbaya risasi ikafyetuka na kumjeruhi mwalimu wake aitwae Charles Vacca mwenye umri wa miaka 39 ambae alifariki baadae hospitalini. HII NI CLIP DAKIKA CHACHE KABLA YA MAUA...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Kampuni ya Vodacom Tanzania imekuja na Fistula Ice Bucket Challenge ‘#BongoIce’ yenye lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya matibabu ya akina mama wajawazito wenye ugonjwa wa Fistula. Hii ni kufuatia kampeni inayoendelea mitandaoni ikijulikana kama #ALSIceBucketChallenge  ambapo Vodacom Tanzania kwa kutambua kuwa kuna wanawake wengi Zaidi ya 30,000 wanaogua ugonjwa huu hapa nchini imeanzisha kampeni inayoitwa #BongoIce.  Mkurugenzi wa Vodacom, Rene Meza amekuwa wa kwanza kushiriki kampeni hii na kuwateua Naibu Waziri wa...
Posted by kifesi |
Ilikuwa ni Kwenye summer classic Charity basketball match ya mwaka 2014 ambayo inaleta pamoja mastaa wa sanaa tofauti kucheza mechi na kuchangisha pesa, Rihanna alikuwa miongoni mwa mastaa wa muziki waliohdhuria game ya basket iliyochezwa na Chris Brown. Vyanzo vya habari vingine vinasema Rihanna hakujua kama Chris Brown anacheza mechi hio na baada ya kumuona Rihanna aliweka sura tofauti kama vile hajamuona na hana time naye kitu ambacho...
Posted by kifesi |
Ni video ya Mkenya  Victoria Kimani ambayo ameshirikishwa wasanii wawili kutoka Tanzania Ommy Dimpoz na Diamond Platnumz, wimbo unaitwa Prokoto na audio yake ilitangulia kutoka.  enjo...
Posted by kifesi |
...