Taarifa za kuwepo beef kati ya wasanii wakubwa wa Nigeria
Wizkid na Davido wakitambiana nani anafunika zaidi zinaendelea kukorezwa
na tweets za vijembe kati yao kila kukicha.
Ingawa wawili hao waliwahi kuonekana katika picha ya pamoja na kutoa
ishara ya kumaliza tofauti zao, bado maandishi yao yanaonekana kuwa
mwiba kwa kila mmoja.
Mkali wa Kukere ameamua kutoa ushauri wake kwa wasanii...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Ni
mamia ya wakazi na mashabiki wa muziki wa kizazi kipya walioamua kwenda
kumpokea Diamond Platnumz baada ya safari yake ya kutoka Marekani
ambayo imekua njema kwa Tanzania baada ya kurudi na tuzo.
Mapokezi yalianzia uwanja wa Julius Nyerere International Airpot
kisha msafara ukaelekea mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es salaam
ukipitia Buguruni,Kariakoo na baadae kumalizia nyumbani kwake Sinza.
Wakati
akiwa kwenye gari ya wazi...
Subscribe to:
Posts (Atom)