...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
Posted by kifesi |
Guy Scott ambaye alikuwa makamu wa rais
Zambia wakati wa utawala wa Michael Sata ametajwa kushika nafasi ya
urais wa nchi hiyo kwa sasa mpaka pale ambapo ataapishwa mara baada ya
kufanyika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Waziri wa ulinzi Zambia Edgar Lungu
amesema maandalizi ya uchaguzi huo yataanza muda wowote ambapo katiba ya
nchi hiyo inaagiza kufanyika uchaguzi wa Rais ndani ya siku 90 baada ya
kufariki kwa aliyekuwa rais wa nchi...
Posted by kifesi |
Posted by: Millard Ayo
October 30, 2014
General News, stori kubwa
Wiki moja baada ya kutokea kwa msiba wa mmoja wa wasanii wa TMK Wanaume Family YP na saa chache baadaye ukatokea msiba mwingine wa aliyekuwa msanii wa maigizo na vichekesho Sherry Mwana, leo Oktoba 30 umetokea msiba mwingine Bongo Movie.
Taarifa za awali zimeanza kusambaa
kupitia watu mbalimbali maarufu Tanzania ambao wameaanza kuonyesha
masikito yao akiwemo msanii...
Posted by kifesi |
Taarifa
ambazo zimetoka muda mfupi uliopita zinasema kuwa msanii wa muziki wa
kizazi kipya Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ asubuhi ya leo October 29
amepata dhamana baada ya kutimiza masharti yaliyotolewa.
Chid Benz alipandishwa kwenye mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jana
October 28 na kusomewa mashtaka matatu yaliyokuwa yakimkabili ambapo
alishindwa kutimiza masharti ya dhamana.
Leo asubuhi amepata dhamana baada ya kutimiza masharti ya...
Posted by kifesi |
Best Video Ever ..... Kikwetu Kwetu 😜
A video posted by Missy Temeke (@missytemeke) on Oct 10, 2014 at 11:22am PDT
I have always believed that fashion was not only to make women more beautiful, but also to reassure them, give them confidence....... Kwetu Fashion Always On Point 👌
A video posted by Missy Temeke (@missytemeke) on Oct 10, 2014 at 10:14am PDT
...
Subscribe to:
Posts (Atom)