.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Hii ni michoro iliyofanywa na Christian Renny mchoraji ambaye bado yupo chuo, hizi ni picha za watu maarufu aliowachora ...
Posted by kifesi |
Guy Scott ambaye alikuwa makamu wa rais Zambia wakati wa utawala wa Michael Sata ametajwa kushika nafasi ya urais wa nchi hiyo kwa sasa mpaka pale ambapo ataapishwa mara baada ya kufanyika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo. Waziri wa ulinzi Zambia Edgar Lungu amesema maandalizi ya uchaguzi huo yataanza muda wowote ambapo katiba ya nchi hiyo inaagiza kufanyika uchaguzi wa Rais ndani ya siku 90 baada ya kufariki kwa aliyekuwa rais wa nchi...
Posted by kifesi |
Posted by: Millard Ayo October 30, 2014 General News, stori kubwa Wiki moja  baada ya kutokea kwa msiba wa mmoja wa wasanii wa TMK Wanaume Family YP na saa chache baadaye ukatokea msiba mwingine wa aliyekuwa msanii wa maigizo na vichekesho Sherry Mwana, leo Oktoba 30 umetokea msiba mwingine Bongo Movie. Taarifa za awali zimeanza kusambaa kupitia watu mbalimbali maarufu Tanzania ambao wameaanza kuonyesha masikito yao akiwemo msanii...
Posted by kifesi |
Kama hukuwa unafaham,mwanamziki Mkongwe kwenye Bongo fleva,dully sykess ni baba wa watoto watatu Turiano,Misky, na Moureen...Ambao ni hao kwenye pic...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
WeekendIliyoisha  Ciara alisheherekea miaka 29 ya kuzaliwa na rafiki yake kipenzi La La huko mjini New York. Ciara na Lala walitoka na watoto wao. ANGALIA PICHA ...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Rapper Nay wa Mitego na mpenzi wake wa siku nyingi,Siwema Siku ya leo wamebarikiwa kupata mtoto wa kiume ikiwa ni siku moja aliyozaliwa mama mzazi wa Nay wa mitego,Hongera Nay&Siwema ...
Posted by kifesi |
Taarifa ambazo zimetoka muda mfupi uliopita zinasema kuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ asubuhi ya leo October 29 amepata dhamana baada ya kutimiza masharti yaliyotolewa. Chid Benz alipandishwa kwenye mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jana October 28 na kusomewa mashtaka matatu yaliyokuwa yakimkabili ambapo alishindwa kutimiza masharti ya dhamana. Leo asubuhi amepata dhamana baada ya kutimiza masharti ya...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
  DESIGN BY MISSY TEMEKE(KWETU FASHION)...
Posted by kifesi |
Best Video Ever ..... Kikwetu Kwetu 😜 A video posted by Missy Temeke (@missytemeke) on Oct 10, 2014 at 11:22am PDT I have always believed that fashion was not only to make women more beautiful, but also to reassure them, give them confidence....... Kwetu Fashion Always On Point 👌 A video posted by Missy Temeke (@missytemeke) on Oct 10, 2014 at 10:14am PDT ...
Posted by kifesi |
...