.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Mbunge wa Mbinga na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Kapteni John Damian Komba amefariki dunia ktk Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam leo saa kumi jioni.CCM na EATV(East Africa Television) Wameandika kwenye twitter yao. By Kibo10:Historia Fupi ya Marehemu John KombaMarehemu Kaptain Komba alizaliwa Marchi 18 mwaka 1945 alipata elimu ya msingi huko nchini Tanzania katika shule ya Lituhi baadae elimu ya sekondari katika shule ya sekondari...
Posted by kifesi |
My Birthday wish for you is that you continue to love life and never stop dreaming. May beauty and happiness surround you not only on your special day, but always...
Posted by kifesi |
Words alone are not enough to express how happy I am you are celebrating another year of your life! My wish for you on your birthday is you are and will always be happy and healthy! Don’t every chang...
Posted by kifesi |
Lupita Nyong’o alikuwa mmoja ya wanamitindo na mastaa ambao walipendezesha Red Carpet na event yote ya sherehe za Tuzo za Oscars mwaka huu ambazo zilifanyika siku ya Jumapili February 22 Marekani. Kuanzia siku ya jana kuna story ambayo ime hit vichwa vya habari vingi kuhusu Lupita, lile gauni lake kali ambalo alivaa siku ya event hiyo limeibiwa katika chumba cha Hotel ambayo alikuwemo staa huyo. Thamani ya gauni ni dola 150,000/-,...
Posted by kifesi |
Likija swala la fashion na kuvaa kulingana na wakati Miss Temeke huwa hakosei,sasa basi katika  picha ya kwana ni binti wa superstaa Kevin Costner' alivokua amevaa at 'Black or White' Movie Premiere @Hollywood the same dress alovaa Miss T siku ya valentines,we unahis nani alifunik...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
 The backbone of every family, who knows what you need even before you asked or wished, who's ready to make food for you no matter what's the time, the best medium of communication between you and your father, At your worst time who cried all night and take care of yours And make you believe that nothing will happen to you, the only women who's food you never complain and fed of, even you got the same meal every day, In this cruel world,...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Ili uwe na ndoa furaha,kamwe usiolewe na mwanamme asiempenda Mama ake na usioe mwanamke  ambae hakua Good daught...
Posted by kifesi |
Ili dhahabu iweze kung'aa na kuwa na thamani zaidi lazima ichomwe moto, ipitishwe kwenye tanuru la moto. Wale wasomaji wa vitabu vya dini kunasehemu imeandikwa " Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji."Kuna mambo hapa ni lazima kuya elewa "Nijapo pita kati ya bode la uvuli wa mauti. Hapa ni kupita katika hali inayokufanya ujisikie kutokuwa...
Posted by kifesi |
JINA la Zari hivi sasa limekuwa jina maarufu katika masikio ya Watanzania, Afrika Mashariki na kwingineko hasa baada ya mwanadada huyo mfanyabiashara na mwanamuziki wa Uganda kuwa na urafiki na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul maarufu kwa jina la usanii Diamond Platnum. Zari The Lady Boss Kwenye mitandao ya kijamii kama Tweeter,  Facebook ,Instagram na hata Whatsapp lazima utakutana na jina Zari akiunganishwa na Diamond na wengine...
Posted by kifesi |
taarifa kutoka Nairobi Kenya ambayo ilisikitisha sana ni tukio la watoto watatu kuuawa na mwanamke mmoja ambaye baada ya kuwaua halafu akawapasua na kula mioyo ya watoto hao. Mwanamke huyo Catherine Muthoni alimuua mtoto wake mmoja mwenye umri wa miaka kumi na baadaye kuua watoto hao wawili wa jirani. Tukio la leo katika eneo la makaburi ya Lang’ata limewatoa wengi machozi wakikumbuka jinsi watoto hao walivyofariki kwa mateso ambapo...
Posted by kifesi |
tukio la kuanguka kwa mwanamuziki mkongwe Madonna limezungumziwa zaidi, hii imetokea bahati mbaya wakati mwanamama huyo akifanya show na dancers wake kwenye stage...
Posted by kifesi |
CLICK TO DOWNLO...
Posted by kifesi |
 Happy anniversary to the man I want beside me every night for the rest of forever. I love you Mohammed...........Alhamdulillah RabilaAllamina Mwenyezi Mungu nakushukuru kwa kutimiza miaka 13 Ya ndoa yetu.M/Mungu nakuomba uzidi kuniwekea Mume WANGU na umuepusha na maradhi,shari na husda za dunia.Eeeeh Yarabi nanyanyua mikono yangu uzidi kutulinda na ndoa yetu............... Ahsante sana mume wangu umenikuna panaponiwasha ...