Kupitia Ukurasa wake wa INSTAGRAM..Mtangazaji wa Clouds FM, DIVA atoa ushauri huu kwa wasanii wa hapa TZ....Nanukuu.. "Goodmorning Tanzania. So kuna Mtu aliniuliza kwanini Nigeria wanakuwa wameishika Africa na kuwa nominated kwenye Tuzo nyingi Africa na duniani kwa ujumla. Kwanza ifahamike Nigeria kuna watu zaidi ya Mil170 na Tanzania ni kama watu Mil44 hivi kwa harakaharaka na hatutaweza hata robo kushindana nao sababu hawa jamaa kwanza wanashinda katika internet. Watumiaji wa Internet Tanzania ni asilimia haizidi 4 au 5. Hatufiki watu mil1 na nusu na wengi wanaotumia wako nje ya Tanzania na Miji Mikubwa sana. Ndio maana kama una biashara yako ya maana Tangaza radioni sababu watu mil44 wote karibia wana Access ya radio. Mtu yoyote afanyaye kazi kwenye media ni Maarufu zaidi ya hawa wa instagram facebook au twitter au bloggerz au wanaomiliki blogs. Sababu hao watu mil44 ni lazima watamfahamu tu. Pili uki shoot video na Jamaa wa Nigeria wanaichukua na kukutambulisha duniani wenyewe kupitia ile pesa yako na sio kuwa wewe ndio eti unasumbuka hapana. Na sio kuwa ukichaguliwa BET au sijui wapu ni Nguvu zako hapana ni hao Jamaa wanafanya hayo yote. Nawashauri Wasanii wenye uwezo wa kufanya video na watu wa Nigeria wafanye hivyo na Matunda yao watayaona. They gon make you famous Hutaamini. Wanasambaza kazi zako wenyewe kupitia Pesa yako uliolipa wakati una shoot video. Adam Juma did it Mwanzo pia...so Nashauri wa Tanzania tuwekeza katika video Nje za Nchi kama unataka Kutangaza nchi na kuchaguliwa kwenye awards kubwa duniani. Nigeria pia Elimu inachangia. Hawa watu wanaongoza kwa mengi duniani ikiwemo wizi wa ki electroniki pia. So ndio maana wanashinda ma tuzo ma nini....akili nyingi....degree na masterz kibao huko. Wasanii Tanzania pia ongezeni Elimu zenu itawasaidia zaidi </div>

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
List ya Washindi wote wa Tuzo za AFRIMMA 2015 Marekani
12 Oct 2015 Unknown- 08 Aug 2015 babally.bligspot.com
WAJUE MASTAA WALIOHUDHURIA PAMBANO KUBWA LA FLOYD MAYWEATHER Vs MANNY PACQUIAO
04 May 2015 UnknownSikiliza Baraka da Prince Feat. Linah walivoiimba remix ya siachani nawe
04 May 2015 UnknownUNATAKA KUJUA JINA ALOPEWA MTOTO WA PRINCE WILLIAM?
04 May 2015 UnknownFAMILIA YA KIFALME YA UINGEREZA YAPATA MTOTO WA KIKE
03 May 2015 UnknownRihhana na Criss brown waanza kuonekan pamoj
03 May 2015 UnknownZari All White Party Ilivyofana
03 May 2015 UnknownVdeo mpy ya Mo Music | Nitazoea | Officia
29 Apr 2015 UnknownKAA TAYARI KWA FAST 7FURIOUS 8
29 Apr 2015 UnknownKAA TAYARI KWA FAST 7FURIOUS 8
29 Apr 2015 UnknownKAA TAYARI KWA FAST 7FURIOUS 8
29 Apr 2015 UnknownLudacris & Eudoxie’s Baby Shower! Monica, LeToya Luckett, Laura Govan, Karma Bridges & More Attend
29 Apr 2015 UnknownVIDEO:VANESSA AFUNGUKA KILA KITU USICHOKIJUA
29 Apr 2015 UnknownPICHA KALI YA WASAFI
29 Apr 2015 UnknownSIKILIZA NYIMBO MPYA YA DULLY SYKESS-SHUKA
29 Apr 2015 UnknownMama Wa beyonce Tina Knowles aolewa-All white Wedding
23 Apr 2015 UnknownULIISUBIRI VIDEO YA SOPHIA BY BENPOL?HII HAPA
23 Apr 2015 Unknownbaada ya kuachana na Future,Ciara Kajiweka hapa
23 Apr 2015 UnknownNDOA YA SHETTA IMEVUNJIKA KISA ROSE NDAUKA
23 Apr 2015 UnknownCOLLABO YA MZEE YUSUFU NA DIAMOND
20 Apr 2015 UnknownOmmy Dimpoz alia kwenye stage Escape One
20 Apr 2015 UnknownNA HII NDIYO PICHA YETU TAMU YA SIKU..MISS T NI SHEEEDA
18 Apr 2015 UnknownKUWAONA DIAMOND NA ZARI TAREHE 1MAY NI MILION 3.............
18 Apr 2015 UnknownWema Sepetu: Ninammiss Diamond
18 Apr 2015 UnknownHatimae Nicki Minaj achumbiwa
18 Apr 2015 UnknownPicha Ya Kwanza ya Chris Brown Na Mtoto wake.
18 Apr 2015 UnknownPICHA:ALICHOKIVAA TONI BLAXTON MBELE YAWANAE WA KIUME
16 Apr 2015 UnknownStory ya Rihanna kutumia dawa za kulevya,soma alivofunguka
16 Apr 2015 UnknownKumbe Diamond Platnumz hukesha mpaka mpaka asubuhi studio
16 Apr 2015 Unknown
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment