.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Kitu kibaya zaidi kinachokosewa na wanadamu wa nyakati hizi kwenye mapenzi ni kwamba wanapingana na haja za nafsi zao na wanafuata msukumo wa matamanio ya viungo vyao vya uzazi,unapomuoa mwanamke kwa sifa ya kujua kukata mauno unakosea kwa kuwa si kila muda utahitaji  kukatiwa viuno kwenye ndoa. kuna kipindi utahitaji ukarimu wa mumeo wa mumeo ili uweze kufurahia maisha ya ndoa na pia kuna kipindi utahitaji tu busara za mkeo ili uweze kuikamilisha...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Kwenye kila idara siku hizi kuna habari zake nyingi tu, utaambiwa Wanamichezo 10 matajiri duniani, 10 wanaouza zaidi kibiashara, Magari 10 ya bei ghali zaidi duniani…. hizo ni baadhi tu ya countdown ambazo tunazo kwenye haya maisha ya kila siku. List ya hawa warembo ilitoka zaidi ya miezi miwili iliyopita so kama ilikupita fanya hesabu pamoja na mimi kwenye hii post, wanasema sio Warembo wa Ulaya bali hii ni list ya dunia. #1 Nina Dobrev - mrembo...
Posted by kifesi |
Imeripotiwa kuwa Miss Tanzania wa zamani ambae ni mchumba wa mda mlefu wa billionea reginald mengi, jackuline klyn leo amefanikisha kufunga ndoa huko ufaransa paris na billionea huyo, kama ilivyo ada na kuwaida mitandao ya kijamii ukiwemo na insta, as it known yakuwa hapo juzi kati mwanadada huyo aliweka tiza kwenye mtandao wake wa insta ya kuwa final destination, so kama ulikuwa hujui ndo tunakufungua macho yakuwa final destination...
Posted by kifesi |
 Baba Levo ambae huwa anasikika kwenye Ampifaya ya CloudsFM Jumatatu mpaka Ijumaa, moja ya fix zake wiki hii ilikua ni kuhusu nyumba mpya ya Diamond Platnumz ambayo imetengenezwa kwa gharama na kunakshwiwa kwa gold bafuni. ...
Posted by kifesi |
Diamond anapigwa vita sana adondoke, ila tusichojua wabongo ni kuwa Diamond akidondoka mziki wetu  unadondoka pia Dee ametuweka kwenye ramani ya muziki ambayo hatukuifikiria kwa miaka ya karibuni kwa juhudi zake, ila sisi badala ya kum-support ndio kwanza tunampiga mawe hatari. Kuna nchi kibao hapa Africa kitu kizuri pekee wanachojua kutoka bongo ni Diamond na ushiriki wetu Big brother. kila nikiskia kapiga hatua flani nafarijika kama...
Posted by kifesi |
JAPO WALISHAACHANA ILA HII NI MOJA YA PICHA YAO KAL...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Msanii Diamond Platnumz amepost moja ya nyumba yake akisema hiyo ni moja ya kumi ya nyumba alizonazo, huku akisema ina vitu kama gym, jaccuzi,swimming pool, studio, pooltable, lounge etc [/QUOTE]Rep...
Posted by kifesi |
Kweli walikutana wote akili moja...
Posted by kifesi |
 Amazing that you were once a helpless little child, but now you a giant helpless person! Have fun blowing out all the candles on your cake! ...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Ni zaidi ya mwezi mmoja sasa tangu Bobbi Christina adondoke bafuni na kupoteza fahamu, japo familia yake imekuwa ikitoa taarifa kwamba hali yake inaendelea vizuri zipo taarifa zinazosema kuwa hakuna dalili yoyote ya msichana huyo kupata nafuu. Familia yake, watu wa karibu wamekua wakitumia muda mwingi kumfanyia maombi msichana huyo. Familia yake imepanga kukutana mwishoni wa wiki hii ili kuzungumzia hali ya msichana huyo ambaye...
Posted by kifesi |
Akiwa na miaka 17 tu mdogo wake Kim Kardashian ‘Kylie Jenner’ ameanza kufanya photo shoot tofauti. Hii amefanya huko Hollywood Hills jumanne ya wiki hii. Lakini pia Wiki iliyopita mpenzi wake ambaye ni rapa Tyga ’25’ alithibitisha kuwa ni wapenzi na Kylie kwa kuweka picha ya Kylie iliyoambatana na ujumbe wa  “Certain things catch your eye, but only few capture the heart.” ...
Posted by kifesi |
Daktari mmoja bingwa wa saikolojia, Erick Mutchumbh, amesema tabia zinazofanywa na nyota wa muziki, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ zinaashiria kuwa ni mgonjwa aliyeathirika kisaikolojia na matatizo ya unyanyaswaji wakati wa utoto wake.Mutchumbh alitoa maelezo hayo baada ya kuombwa kuzungumzia tabia za Shilole za kugombana mara kwa mara na mpenzi wake, Nuh Mziwanda, kama zinaweza kuwa ni tatizo la kisaikolojia linalomsumbua mmoja wao au ni ugomvi wa kawaida...