Baadhi
ya mastaa wa Afrika walioona mapokezi ya Diamond Dar es salaam
wamependa sana upendo wa Watanzania kujitokeza kumpokea Platnumz baada
ya kushinda tuzo tatu za Channel O 2014 zilizotolewa Johannesburg South
Africa.
Kwenye msafara wa Diamond Platnumz kulikua na Polisi pia ambao kazi
yao ilikua ni kuhakikisha usalama unakuwepo ambapo sehemu nyingine
Diamond alilazimika kushuka na kutembea kupiga picha na watu wake.
MISSY TEMEKE Missy Temeke is one of the Prominent African fashion designers, recognized for her artistic and technical skills and for creating simple, comfortable women’s wear. Born and raised in the Dar-es-salaam, Tanzania, Missy Temeke'spassion for fashion began in her teens when she worked as a Model, beauty pageant and beautician for the clouds company while attending school. Missy Temeke began her......CLICK THE PICTURE TO CONTINUE READING
0 comments:
Post a Comment