.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Kila ambacho mtoto mdogo anakiona huwa anahisi ni cha kuchezea, atakigusa na kufanya chochote anachojisikia kukifanya kwa wakati huo. Mtoto wa  Kim Kardashian  na Kanye West anayeitwa North aliishika simu ya baba yake, akaingia nayo chooni, kisha akaflush na maji kwenye sink ya choo! Katika mahojiano na kipindi cha On air with Ryan Seacrest, Kim Kardashian amesema alisikia mtu akiflush...
Posted by kifesi |
November 26, 2014 taarifa kubwa kutoka Nigeria ilikuwa ni taarifa ya msiba wa mzeeMoses Okoye, baba mzazi wa mastaa wa muziki kutoka Nigeria, P Square. Tangu mzee huyo afariki ni miezi miwili sasa, yamepita matukio mengi huenda tukawa tumeanza kusahau tukio hilo, story iliyoko mitandaoni kutoka Nigeria ni kuhusu ndugu pamoja na familia ya mzee huyo kuandaa mazishi yake. Tarehe ambayo imepangwa kufanyika mazishi hayo ni January 30, ambayo...
Posted by kifesi |
. Kama utakumbuka siku ya Jan 28, 2015 msanii Shilole alikataa kwamba hakuna ukweli wowote kwenye story iliyoenea kwamba alimpiga mpenzi wake Nuh Mziwanda, alisikika wakati wa U Heard kwenye XXL  ya Clouds FM. Leo kwenye ukurasa wa Instagram, Shilole amepost picha na ujumbe wa kuwaomba radhi mashabiki wa muziki kuhusu kitendo alichomfanyia msanii mwenzake ambaye pia ni mpenzi wake, Nuh...
Posted by kifesi |
Mwanamke mmoja nchini Misri ameamua kukatiza na gauni la arusi mitaani kupinga masimango anayokutana nayo kwa kuchelewa kuolewa. Samah Hamdi mwenye miaka 27  alifikia uamuzi huo baada ya kuchoshwa na kashfa kutoka kwa watu wanaomzunguka ikiwemo familia yake hasa mama yake mzazi ambao wamekua wakimsema  kutokana na kutokua na mume mpaka sasa. Hamdi ambaye ni mwanafunzi wa shahada ya uzamili alisema ameamua kutembea hivyo...
Posted by kifesi |
. Usiku wa Jan 24 ni siku ambayo waimbaji mbalimbali watanzania walishare jukwaa moja kwenye tamasha la Kiboko yao Concert lililoandaliwa na kampuni ya simu za mkononiTigo. Miongoni mwa waimbaji waliotumbuiza akiwemo;Diamond Platnumz, Shaa, Vanessa Mdee, Joh Makini, Stamina, Young Dee, Nikki wa pili, Ben pol, Fid Q, Ay, Mwana FA, Khadija Kopa, Linah na wengineo. Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tamasha hilo. Shaa. . . Ben...