.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
imebaki miezi miwili kufanyika kwa show ya Jose Chameleone wa Uganda ambae amepanga kuifanya show yake mwenyewe nchini kwao December hii huku kiingilio kikiwa ni zaidi ya laki sita za Tanzania ambazo ni shilingi milioni moja za Uganda. nachekelea watu ambao wanasema Milioni? nani atampa hiyo milioni? watu wengi wanauliza mbona milioni moja? msanii mmoja? kuna watu ambao hawajapata bahati ya kumuona Chameleone akiwa anafanya mazuri yake, kuna...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Chris Brown ameingia tena matatizoni baada ya kumzingua shabiki wa kike anaedaiwa kumrukia na kujaribu kumkiss mbele ya mrembo wake Karrueche Tran katika Club moja ya usiku. Kwa mujibu wa  TMZ , mwimbaji huyo wa ‘Loyal’ aliyekuwa na onesho katika club hiyo huko Texas, badala ya kuwaacha walinzi wake wamshughulikie msichana huyo kwa hasira alimsukuma vibaya. Vyanzo vimeieleza Hollywoodlife kuwa mama mzazi wa Chris Brown na mpenzi wake...
Posted by kifesi |
Tunanunua na kuuza used/unwanted good clothing, Handbags, Shoes and Accessories call/what's up 0784 000 00...
Posted by kifesi |
 kwa mujibu wa TMZ, Amber Rose alichukua uamuzi huo baada ya kumfumania Wiz Khalifa akiwa na mwanamke mwingine nyumbani kwake majira ya saa nane usiku. Taarifa hizo zimeunganishwa na tweet ya Amber Rose inayoeleza kuwa anaendelea kulikumbuka tukio hilo. Hata hivyo chanzo cha karibu na Wiz Khalifa kiliieleza TMZ kuwa rapper huyo aliwaambia kuwa alifanya makusudi kwa kuwa hataki tena kuendelea kuwa mume wa Amber Rose. “I just didn't want...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Beyonce Knowles alipata tatizo la aina yake alipowasapraiz mashabiki wake kwa kuungana jukwaani na mumewe Jay Z ghafla katika Global Citizen Festival iliyofanyika wikendi iliyopita.   Akiwa katika harakati za kuimba na kucheza, ghafla top yake nyeupe iliafunguka na kifua chake kubaki wazi huku ‘maziwa’ yakitoka nje ya bra iliyokuwa na rangi ya ngozi yake. Hata hivyo, kitendo hicho kilifanyika ndani ya sekunde chache kiasi kwamba mashabiki...
Posted by kifesi |
Ana miaka miwili tu, lakini North West ameanza kuhudhuria fashion show za kimataifa tena katika mstari wa mbele. Weekend iliyoisha, mtoto huyo wa Kanye West na Kim Kardashian ameshuhudia cat walks za warembo mbalimbali akiwemo mama yake mdogo, Kendall Jenner kwenye Paris Fashion Week na pia kwenye show ya Givenchy jijini Paris, Ufaransa. Hata hivyo katika picha nyingi, North alionekana kutofurahishwa na huenda alikuwa anataka...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Amber Rose aliwashtua mashabiki wake na Wiz Khalifa baada ya kuripotiwa kutengana na mumewe huyo huku akifanya taratibu za kupata talaka yake kisheria. Baada ya taarifa hizo kusambaa kwenye vyombo vya habari siku mbili zilizopita, iliripotiwa kuwa chanzo cha yote ni Amber Rose kuchepuka na mme wa Mariah Carey, Nick Cannon ambaye pia ndoa yake iko katika sintofahamu. Hata hivyo, Amber Rose amethibitisha kuwa Wiz Khalifa alikuwa akimsaliti na wanawake...
Posted by kifesi |
Vanessa Mdee, Diamond Platinumz na Peter Msechu wametajwa kuwania tuzo za AFRIMA za nchini Nigeria. Come Over imemuwezesha Vanessa kutajwa kuwania tuzo katika vipengele viwili vya Best African RnB Soul na Best Female Artist in Eastern Africa. Peter Msechu kupitia wimbo wake Nyota na Diamond kupitia Number One wametajwa kuwania tuzo ya Best Male Artiste In Eastern Africa. Diamond naye amepata  nafasi mbili katika kinyang’anyiro kupitia wimbo...
Posted by kifesi |
 Usiku wa tarehe 19th september 2014 ndani ya JW MARRIOT,WASHINGTON DC,itabaki kuwa moja ya usiku wa kipekee na wa kukumbukwa kwa watanzania waishio Marekani,ilikuwa nisiku mhimu ya kumuaga baba yetu,na rais wetu mpendwa Mheshimiwa,Jakaya MlishO Kikwete,usiku huo uliopewa jina la,USIKU WA JAKAYA,Usiku wa kumuaga na kushukuru Kwa mema yake na uongozi mzuri wa  nchi yetu PENDWA Tanzania, kabla hajamaliza mda wake hapo mwakani..Kwetu fashion...