.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Tuzo kubwa za music duaniani BET zimefanyika jana ,na mwakilishi pekee wa Tanzania na Afrika mashariki,Diamond platnumz kwa bahati mbaya hakuweza kushinda,japo ni hatua kubwa sana amepiga kwa music wake na Tanzania kwa ujumla,kajitangaza kimataifa,katengeneza connections ,kakutana na wasanii wakubwa dunaiani akiwemo Nelly ni faida si kwake tu,bali ni kwa mziki wa Tanzania kwani sasa ameitambulisha Tanzania kimataifa Diamond akiwa na Nellypamoja...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Mshindi wa tuzo ya Grammy, Pharrell Williams aliendeleza ushindi wake kwa mwaka huu baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya Video of the Year na Best Male R&B/Pop artist. Na August Alsina alishinda tuzo ya Best New Artist na Viewers’ Choice Award. Muigizaji kutoka Kenya Lupia Nyong’o alikuwa moja kati ya washindi wa awali na alitangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Muigizaji bora wa kike (Best Actress) Best Female R&B/Pop ArtistBeyoncé Best...
Posted by kifesi |
Karrueche Tran ambae ni mpenzi wa mtu wa Chriss brown alikua ndie host kwenye red carpet ya BET akihoji wasanii mbali mbali akiwemo ,Diamond platnumz ambae tuzo ya category aliyokuwa akishindania,imeenda kwa Davi...
Posted by kifesi |
Diamond Platinumz anaiwakilisha Tanzania kwenye tuzo za BET zitakazofanyika huko Los Angeles, Marekani. Jana Diamond akiwa na wasanii wenzake wanaowania tuzo katika kipengele cha International Act (Africa) walihudhuria party ya utangulizi (BET Pre Awards VIP Party). Fally Ipupa aliungana na wasanii wanaowania kipengele kimoja na Diamond ambao ni Davido, Mafikizolo na Tiwa Savage na Sarkodie (hayupo kwenye picha hizi). ...
Posted by kifesi |
Leo ni Leo asemaye kesho ni muongo, Aijawai kutokea katika history ya Tanzania kwa mwanamziki yoyote kwenda kugombea tuzo za BET award naombeni watu wote tuwe pamoja tuache tofauti zetu tum support mTanzania mwenzetu akipata yeye ndio tumepata Tanzania nzima. TUNAJIVUNIA UPENDO NA AMANI , atakua ametuinua katika level ya kima taifa ya mziki .Mwenyezi mungu akufungulie kila la kheri na baraka @diamondplatnumz uweze kushinda , kama kuna uzito wowote kwako Mwenyezi Mungu Au fanye uwe mwepesi uweze kupata tuzo yako InshaAllah . WaTanzania...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Daily Mail imeripoti kuwa msichana huyo wa Colorado, Marekani amekutwa hana hatia na mahakama baada ya vipimo vya madaktari kuonesha kuwa ana matatizo ya akili na hata wakati anafanya tukio hilo hakuwa sawa kiakili.   Mahakama hiyo imeamua kuwa Isabela apelekwe hospitali kuanza matibabu badala ya kwenda jela kama ilivyokuwa inatarajiwa na wengi. Upelelezi wa polisi ulieleza kuwa msichana huyo alimuua mama yake aitwae Yun Mi Hoy kwa kumchoma...
Posted by kifesi |
Kwa pamoja tuzidi kumwombea msanii wetu Diamond anayetuwakilisha kwenye tuzo za BET,aweze kushinda na mziki wetu uzidi kutambulika Dunia...
Posted by kifesi |
Kwetu fashion inazidi kutanuka na kujizolea umaarufu kila siku,umaaru ambao haujaja  kirahisi bali kwa kazi nzuri ,na ubunifu mzuri wa mavazi yanayomfanya mtu ajiskie ufahari wa nyumbani yani Afrika..kwa ubora huo ndio maana imekua ikipata nafasi ya kuvisha watu mbali mbali wakubwa na wadogo pia kwenye matamasha mbalimbali..hizi ni baadhi ya picha za warembo waliovishwa na kwetu fashion wakati wa shughuli ya TANO LADIES ...
Posted by kifesi |
...
Posted by kifesi |
Tuzo za watu zimefanyika usiku wa tarehe 27/6 kwenye hotel ya Serena Hotel.Baadhi ya tuzo zilienda kama hivi, Muigizaji wa kike anayependwa-Elizabeth Michael, Mwigizaji wa kiume anayependwa – Mzee Majuto,Video ya muziki ya muimbaji wa kiume imeenda kwa Diamond Platinumz (My number 1),Lady Jay Dee ameshinda tuzo ya video inayopendwa ya muimbaji wa kike na video ya Yahaya. Tuzo ya mtangazaji wa radio anayependwa ni Millard Ayo na show ya radio...
Posted by kifesi |
SALAMA JABIRI, HOST wakipindi cha MKASI alijikuta ana changanya mambo baada ya mumuita PENNY kwa jina la WEMA....pindi wanarekodi kipindi ambapo PENNY alikua ndio mgeni...Hehehehe Siunajua PENNY na WEMA waliwahi kushea Mapenzi ya D..Patamu hapo!!! sasa PENNY alijibu nini baada ya kuitwa WEMA? Salama je ali RIAKTI vipi baada ya kuchanganya mamb...
Posted by kifesi |
Kwa mujibu wa takwimu zisizo rasmi zinaonyesha kwamba idadi ya wanawake wasiyoikubali miili yao hapa nchini ni kati ya 25 hadi 35, kwa maana kwamba ni wanawake 25 hadi 35 katika kila wanawake 100 wasiyokubali miili yao. Ndiyo maana siku hizi tunashuhudia baadhi ya wanawake hapa nchini wanaohangaikam kutafuta dawa za kukuza makalio yao na kubadili rangi ya ngozi zao. Kuna yale ambayo mtu hawezi kuyabadili, kama vile sura, makalio, kimo na maumbile...
Posted by kifesi |
...