.

.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA

Gallery

Posted by kifesi |
Rapper Busta Rhymes ameanguka akiwa jukwani kwenye show ya muziki mjini New York. Busta alikuwa msanii aliyealikwa kwenye show hio iliyofanyika Webster Hall alikuwa ameinama kusalimia mashabiki na ghafla akapoteza balansi na kuangukia watu, alivyoinuka alikuwa na damu kichwani na usoni huku jeraha likionekana kuhitaji kushonwa. Baada ya dakika checha alirudi jukwanii na kuendelea na show.  ...
Posted by kifesi |
Jumamosi Ya Nov  29 2014 Watanzania na wapenzi wa muziki wa bongo fleva walifuatilia kwa karibu sana tuzo za Video za Channel O zilizofanyika Johannesburg South Africa. Mtanzania mwenzetu Diamond Platnumz alikuwa akiwania tuzo nne kwenye vipengele tofauti. Diamond Platnumz amefanikiwa kushinda tuzo tatu kati ya 4alizokuwa anawania. Tuzo alizoshinda ni Most Gifted EastAfrica, Most Gifted Afro Pop na Most Gifted Newcomer. Hizi ni picha...
Posted by kifesi |
Habari ya Tanzania kwa sasa ni ushindi wa Diamond kwenye tuzo kubwa za channel0,ambapo ameshinda tuzo 3,mmoja ya waliompongeza ni ex wake,Wema sepetu  kupitia instagram alimpongeza na kumalizia  kwa kumuita kaka badala ya baby kama tulivyozoea,kwa sasa nafasi yake imechukuliwa na mwanandada ZARI Bossy lady wa Uganda ambae waliongozana wote kwenye tuzo...
Posted by kifesi |
. Diamond Platnumz ndio alikua msanii pekee wa Tanzania aliekua akiwania tuzo za Channel 0 2014 zilizotolewa November 29 usiku hapa Johannesburg South Africa ambako alishinda tuzo tatu kati ya nne alizokua anawania. Unataka kuona jinsi ilivyokua kwenye red carpet kabla ya tuzo kutolewa? Diamond alivyopita na Watanzania wengine? endelea kutazama hizi picha hapa chini. . . . . . . . Fally Ipupa . . . . . . . . mwimbaji...