...
.

NYUMBANI KWA MISSY TEMEKE ALIVYOMUANDALIA BALOZI MWANAIDI MAAJAR(FAREWELL PARTY) PARTY YA KUMUAGA
Gallery
List ya Washindi wote wa Tuzo za AFRIMMA 2015 Marekani
12 Oct 2015 Unknown- 08 Aug 2015 babally.bligspot.com
WAJUE MASTAA WALIOHUDHURIA PAMBANO KUBWA LA FLOYD MAYWEATHER Vs MANNY PACQUIAO
04 May 2015 UnknownSikiliza Baraka da Prince Feat. Linah walivoiimba remix ya siachani nawe
04 May 2015 UnknownUNATAKA KUJUA JINA ALOPEWA MTOTO WA PRINCE WILLIAM?
04 May 2015 UnknownFAMILIA YA KIFALME YA UINGEREZA YAPATA MTOTO WA KIKE
03 May 2015 UnknownRihhana na Criss brown waanza kuonekan pamoj
03 May 2015 UnknownZari All White Party Ilivyofana
03 May 2015 UnknownVdeo mpy ya Mo Music | Nitazoea | Officia
29 Apr 2015 UnknownKAA TAYARI KWA FAST 7FURIOUS 8
29 Apr 2015 UnknownKAA TAYARI KWA FAST 7FURIOUS 8
29 Apr 2015 UnknownKAA TAYARI KWA FAST 7FURIOUS 8
29 Apr 2015 UnknownLudacris & Eudoxie’s Baby Shower! Monica, LeToya Luckett, Laura Govan, Karma Bridges & More Attend
29 Apr 2015 UnknownVIDEO:VANESSA AFUNGUKA KILA KITU USICHOKIJUA
29 Apr 2015 UnknownPICHA KALI YA WASAFI
29 Apr 2015 UnknownSIKILIZA NYIMBO MPYA YA DULLY SYKESS-SHUKA
29 Apr 2015 UnknownMama Wa beyonce Tina Knowles aolewa-All white Wedding
23 Apr 2015 UnknownULIISUBIRI VIDEO YA SOPHIA BY BENPOL?HII HAPA
23 Apr 2015 Unknownbaada ya kuachana na Future,Ciara Kajiweka hapa
23 Apr 2015 UnknownNDOA YA SHETTA IMEVUNJIKA KISA ROSE NDAUKA
23 Apr 2015 UnknownCOLLABO YA MZEE YUSUFU NA DIAMOND
20 Apr 2015 UnknownOmmy Dimpoz alia kwenye stage Escape One
20 Apr 2015 UnknownNA HII NDIYO PICHA YETU TAMU YA SIKU..MISS T NI SHEEEDA
18 Apr 2015 UnknownKUWAONA DIAMOND NA ZARI TAREHE 1MAY NI MILION 3.............
18 Apr 2015 UnknownWema Sepetu: Ninammiss Diamond
18 Apr 2015 UnknownHatimae Nicki Minaj achumbiwa
18 Apr 2015 UnknownPicha Ya Kwanza ya Chris Brown Na Mtoto wake.
18 Apr 2015 UnknownPICHA:ALICHOKIVAA TONI BLAXTON MBELE YAWANAE WA KIUME
16 Apr 2015 UnknownStory ya Rihanna kutumia dawa za kulevya,soma alivofunguka
16 Apr 2015 UnknownKumbe Diamond Platnumz hukesha mpaka mpaka asubuhi studio
16 Apr 2015 Unknown
Posted by kifesi |
Baby Bridges is coming!
Ludacris and Eudoxie are about to have their first baby together, the third for Ludacris, who has two daughters. His older daughter, Karma Bridges attended the fun family affair.
The pair got engaged and married on the same day – Boxing Day 2014.
They held an adorable Secret Garden themed baby shower. The mother-to-be looked stunning in her white dress with a thigh-high...
Posted by kifesi |
Females in the Knowles-Lawson Family! Tina Knowles, Beyonce, Kelly Rowland, Solange, Angie Beyince, Bianca Lawson
Tina Knowlesgot married to actor Richard Lawson earlier this month.
Tina Knowles in Romona Keveza, Richard Lawson
Now more photos have emerged from the day and they ‘slay’!
Just like daughter Solange, who tied the knot in November last year, she opted to have an all-white wedding – where her, the groom...
Posted by kifesi |
Video mpya ya Ben Pol iliyotayarishwa na waongozaji wawili wa video kutoka Tanzania Hanscana na Khalfan.
Ben Pol anasema mmoja ya watu kwenye crew ya kutengeneza video ndiye alimuunganisha na video model wa video yake, Model huyu anatoka Tabora, Sababu ya kufanya naye video ni kuonyesha na kutuma ujumbe kwa jamii kuwa watu wenye Albinism wana haki ya kupendwa kama binadamu wengin...
Posted by kifesi |
Usambazaji wa picha kwenye mitandao siku hizi umekua na nguvu kubwa sana, picha inaweza kusambazwa ndani ya dakika 20 ikabadilisha mambo mengi sana kwenye maisha tunayoishi.
Nakukutanisha na msanii wa bongofleva Shetta ambaye alikuja kwenye studio za Millard Ayo na kukubali kuweka wazi kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake ambayo haina hata miaka mitano.
Unataka kuona alichosema kuanzia mwanzo mpaka mwisho? unataka kuona picha ya zawadi aliyomnunulia...
Posted by kifesi |

ya kumshirikisha Malkia wa Mipasho, Khadija Kopa,
huenda Diamond akasikika tena kwenye wimbo wa Mzee
Yusuf.
Akiongea kwenye kipindi cha Ng’ari Ng’ari cha Clouds TV,
Mzee Yusuf alisema huenda akamshirikisha Diamond
kwenye wimbo uitwao ‘Kikulacho’.
Katika hatua nyingine, Mzee Yusuf alisema nyimbo zake
zitakazokuwepo kwenye album yake ijayo zitakuwa na si
zaidi ya dakika...
Posted by kifesi |
Weekend iliyopita Escape One kulifanyika show iliyowakutanisha mastar wakubwa ndani na nje ya TZ kama Christian Bella, Ruby,Ali Kiba, Kassim Mganga, Ommy Dimpoz, Msami, na Kenya.. WOTE kwenye stage moja watu wakaenjoy pamoja mtu wangu..
Katika tukio lililowashangaza wengi ni ishu ya msanii Ommy Dimpoz alipojikuta akishindwa kujizuia mbele ya mashabiki zake na kuanza kulia wakati...
Posted by kifesi |

Ile show inayosubiriwa kwa na kuongelewa kila kona ya jiji la Dar es Salaam ya Diamond na Zari pale Mlimani city siku ya May mosi Leo vimewekwa wazi bei ya viingilio..kiingilio cha juu ni shiling million 3 za kitanzania na cha chini ni elfu 50.
And here are the Official Entrance fee for Zari All white Party 1st of May 2015, Mlimani City...
50,000/= 100,000/= VIP
1,000,000/= VIP Table plus 4 tickets & Drinks Coupon....
3,000,000/= VVIP...
Posted by kifesi |
Ijumaa hii Wema Sepetu alikuwa mgeni kwenye kipindi cha Ubaoni cha EFM. Miongoni mwa mambo aliyoulizwa ni pamoja maisha baada ya kuachana na Diamond Platnumz.
Haya ni mambo 10 aliyosema:
1. Maisha yake bila Diamond yako poa tu japo mazoea yaliyokuwa yamezidi kati yao yanamfanya wakati mwingine kummiss!
2. Ameshakubali ukweli kwamba yuko mbali na Diamond
3. Anaamini kuwa Diamond anammiss pia kutokana mazoea waliyokuwa nayo
4....
Posted by kifesi |
Rapa Nicki Minaj amewapa mashabiki wake kitu cha kuongelea weekend hii baada ya kuweka picha akiwa na mpenzi wake Rapa Meek Mil huku Nicki Minaj akiwa na pete kubwa ya uchumba kwenye kidole cha kushoto cha Pete.
Revolt Tv imeripoti kuwa wapenzi hawa wanaweza kuwa wamevalishana pete za uchumba baada ya miezi miwili ya mapenzi yao.
...
Posted by kifesi |
Toni Braxton with her sons, Denim & Diezel
That’s a very hot woman and of course, one talented singer … but is this too much?!
Toni Braxton, 47, attended UNCF An Evening of Stars in Atlanta, Georgia, USA this week with her mother, Evelyn Braxton and her two children – sons Denim Cole Braxton-Lewis and Diezel Ky Braxton-Lewis.
As much as she looked great, the dress showed so much of her body through...
Posted by kifesi |
Msanii wa Rnb Rihanna aka Rih Rih amekanusha taarifa za kuwa alionekana kwenye video akijitayarisha na kuvuta dawa za kulevya aina ya Cocaine. Video hio inamuonyesha Rihanna na marafiki wachache wa kicheza muziki wa reggae huku Rihanna akivuta kitu kisichojulikana.
Rihanna aliandika hivi instagram kuhusu uvumi huo uliosambaza na mtumiaji wa instagram ambaye kwa sasa amefuta account Yake..
“Your lame ass got some f**king nerve!!!” ...
Posted by kifesi |
Ujumbe kutoka kwenye instagram ya Wasafi ambay ni lebel ya Diamond Platnumz wasasema Diamond hukesha usiku kucha na siku zingine mpaka asubuhi akirekodi na maproducer tofauti.
“ ..Sa 12 asubuhi.. Baada ya kuutumia usiku mzika akiwa studio ..akapitiwa usingzi mule mule studio ..Kitu kimoja ambacho hukifaham..Diamond hajawahi kufaidi usingizi wa usiku kww kulala mapema .si kwamba anakawia kulala akiwa anatazama movie..ama anacheza game...
Subscribe to:
Posts (Atom)